Bomu limengukia sebuleni...halijalipuka!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,724
Wadau,
Naomba kusaidiwa maelezo ya kitaalamu au ya kiuzoefu kuhusu mambo ya ammunitions, hususan bomu.

Kufuatia ajali ya mabomu Mbagala na GongolaMboto, nimesikia kauli kama:
Bomu lilitua mlangoni kwangu, lakini halikulipuka!

Kinachinisumbua ni kwamba inakuwaje bomu lisafiri toka kwenye ghala hadi umbali wa km4,au 5 bila kuwa limerushwa na chombo maalumu, na bila kuwa limelipuka??

Nijuavyo mimi ni kuwa katika hali ya kawaida ya ulipuaji, bomu linawekwa kwenye mtutu au mzinga, ambao ndio hulirusha, na likifika huko lilikotumwa linalipuka.

Lakini kwa situation ya Gongolamboto, ni nguvu gani inayolirusha bomu(propulsion) tokea kwenye stoo, likiwa halijalipuka, na likasafiri km5, na likaanguka huko, na bado ikaripotiwa kwamba halijalipuka?
 
Propulsion iko built in ndani ya kombora, mtutu haurushi kombora unatriger tu ile propulsion na kulielekeza kombora na hii propulsion ni tofauti na warhead ambayo ndo inalipuka, so nadhani warhead zinabidi ziwe armed kabla ya kuweza kulipuka.

m26_component_diagram.jpg
 
PJ,

Nadhani ni force ya primary explosion that threw off other small ammunition. The force impact might been so high that centrifugal force propelled other items as far as 4 to 5kms away. Some bombs explode on impact but some requires a trigger or activation.
Kuna yale ya kulushwa kwa mkono ambayo hutolewa safety pin and then once impacted, it explodes.
Huenda haya ambayo hayaja explode ni sababu hayakuwa triggered or activated.
 
Mimi sio mtalaamu sana wa physics lakini kwa mabomu yale ya mwaka 47 lolote linawezekana.
 
Back
Top Bottom