Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Katika hali ya kusikitisha na kusononesha chuo kikongwa hapa nchini UDSM wanafunzi wake wanaendelea kuishi katika maisha magumu hii ni kutokana na serikali kuu na serikali yao DARUSO kutowajali wanafunzi wake. DARUSO imekaa kimya muda wote huku wanafunzi wakiangaika wenyewe na maisha magumu. Chuo hiki kina wanafunzi kama 19000 lakini mpaka sasa waliopewa mkopo ni 4138 22% ya wanafunzi wote.
Hii sio haki hata kidogo serikali ya KIkwete inatengeneza BOMU ambalo litakuja kuripuka soon.
Serikali inaongeza nguvu zake UDOM na kuiacha UDSM ikichakaa. Hii inaongeza chuki kwa Serikali ya kikwete kwa wasomi hawa.
Juzi nilikuwa chuo nikakutana na wadada kama watano wakasema wameenda LOAN BOARD kuulizia mikopo maana tokea waapply mwezi wa saba hawajapata mikopo, nikawauliza kwani loan board wamewaambiaje? eti wameambiwa kuwa waandike barua kwanin wapewe mikopo?
File attached
Source:Tanzania HESLB Website
Hii sio haki hata kidogo serikali ya KIkwete inatengeneza BOMU ambalo litakuja kuripuka soon.
Serikali inaongeza nguvu zake UDOM na kuiacha UDSM ikichakaa. Hii inaongeza chuki kwa Serikali ya kikwete kwa wasomi hawa.
Juzi nilikuwa chuo nikakutana na wadada kama watano wakasema wameenda LOAN BOARD kuulizia mikopo maana tokea waapply mwezi wa saba hawajapata mikopo, nikawauliza kwani loan board wamewaambiaje? eti wameambiwa kuwa waandike barua kwanin wapewe mikopo?
File attached
Source:Tanzania HESLB Website