Kuna habari kuwa kuna bomu ambalo bado kulipuka na limeonekana Bagamoyo. Nimeisikia habari hii wakati ikimalizika na nimepiga simu kwa mtu wa Bagamoyo amesema ni kweli kuna habari hizo. Wenye habari zaidi mtujulishe tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.