........... Kuna tangazo kwamba Manispaa ya Kinondoni inaanza bomoa bomoa ya nyumba zilizoko maeneo ya bonde la Suna - Magomeni, wakati wowote kuanzia sasa tangazo hilo linawataka wenye nyumba kuzibomoa wenyewe, aidha kuondoa mali zao ....kuepukana na adha itakayotokea.............
source:- Radio one
source:- Radio one