bigcell
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 219
- 60
Wakuu wana JF wakati nikiwa natokea Mabwepande kumsabahi jamaa zangu mida ya saa 11:30 jioni nilikuta tingatinga likivunja nyumba za Watanzania ambao walivamia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya waathirika wa mafuriko kule Jangwani. Inasikitisha sana maana kwa maelezo niliyopewa na wananchi wa hapo Mabwepande ni kwamba watu walikwisha kuambiwa kuwa waahame miezi mi3 iliyopita lakini walikaidi mwishowe ndo yametokea hayo ya kubomolewa.
source; Ni mimi mwenyewe.
source; Ni mimi mwenyewe.