Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,330
A
Acha ubinafsi.. Kwakuwa ww unapanda daladala basi hutaki teksi ziwepo.. Hayo ni mawazo mgando... Hzo ndege kuna watu wanazihitaji na watazitumia.Sawa. Lakini tumekaa miaka yote bila ndege na hakuna shida kwa sisi wananchi wa kawaida ambao ndio asilimia kubwa ya Raia. Mimi mawazo yangu JPM angejenga Power Plant ya maana ambayo mitambo ni yakwetu kwa 100%, hii ingewagusa watanzania wengi sana.