babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Maji safi ni muhimu kwa kila Binadamu.Picha hizi zinaonyesha hali hali ya upatikanaji maji katika Vijiji viwili,Solya na Kilimatinde huko Manyoni Mashariki,Singida.Mashine za Serikali hazifanyi kazi tena kutokana na ubovu hivyo watu binafsi wamewekeza za kwao na kuchaji shilingi 100 kwa Ndoo moja ya lita 20.Habari na Picha kutoka kwa Mdau Baby Bosco.