Anaitwa Swai,,usicheze nae kabsa,kitambi kisikudanganye mkuu
sasa kwa kitambi hichi alichonacho huyu bodyguard Freeman atasalimika kweli?
Huyo bodyguard wa Mbowe siku moja pale Bills alichezea vibao kutoka kwa dogo mmoja wa kihindi mpaka damu...halafu Mbowe akisafiri nje ya Dar es Salaam anamuacha lakini Arusha tu ndio anaenda nae..
Huyo bodyguard wa Mbowe siku moja pale Bills alichezea vibao kutoka kwa dogo mmoja wa kihindi mpaka damu...halafu Mbowe akisafiri nje ya Dar es Salaam anamuacha lakini Arusha tu ndio anaenda nae..
Huyo bodyguard wa Mbowe siku moja pale Bills alichezea vibao kutoka kwa dogo mmoja wa kihindi mpaka damu...halafu Mbowe akisafiri nje ya Dar es Salaam anamuacha lakini Arusha tu ndio anaenda nae..
Kwa kile kitambi nayaamini maneno yako. ila naomba unipe detail zake kama ana uhusiano gani na mbowe huenda ni ujanja wa kupeana kibarua
Huyo alikuwa ni baunsa wa club bilicanas, naona ameula coz siku si nyingi atakuwa magogoni! Ha! Ha! Ha! Hii kali!
Huyo bodyguard wa Mbowe siku moja pale Bills alichezea vibao kutoka kwa dogo mmoja wa kihindi mpaka damu...halafu Mbowe akisafiri nje ya Dar es Salaam anamuacha lakini Arusha tu ndio anaenda nae..[/QUOTE]
Kwa hiyo hapo wako arusha mtaa gani?