kumbe mwanamke mnene ndo shangingi? mimi shangingi kumbe dah naamia gymKama ilivyo kawaida ya jamvi, penye wengi pana mengi na hakika haliharibiki neno.
Hapa nina swali moja, hivi kuna ulazima wa maumbo ya mawili kati ya wapenzi/wanandoa kuendana ili kufaidi tendo la ndoa? Mfano mtu mnene awe n
a mnene mwenzie au mwembamba awe na mwembamba au mnene kwa mwembamba, please hebu tushauriane hapa!
Na je mwanaume mwembaba kufanya sana tendo la ndoa na mwanamke mnene/shangingi kunaweza kumpelekea mwanaume huyo kukonda zaidi?
Maana hapa nilipohamia kuna mwanafunzi mwanachuo mwaka wa kwanza(mvulana) ni mwembamba na may be tuseme ameolewa na jimama maana
anaishi nae as if they are married. Sasa kijana wa watu namwona anadhoofika sijajua amezidiwa na shughuli au ndo matokeo ya mzigo?