Bowbow
JF-Expert Member
- Oct 20, 2007
- 541
- 31
- Thread starter
- #21
Mwanafalsafa na Mgonjwa wa Ukimwi
Nashukuru sana kwa michango yenu.
Naomba nijibu baadhi ya vipengele vilivyoulizwa na MgonjwaUkimwi. kuna baadhi ya maswali yamerudia ila nitatoa ufafanuzi
a)Kwa sasa matatizo ni mengi, na mifano ipo mingi sana, na baadi ya post imeoanishwa. Mfano sera za kodi katika sekta mbalimbali madini, uwekezaji, petrol &petroleum products,n.k.
jinsi gani serikali inaangalia suala la unemployment, Umeme na athari zake viwandani, income distribution na mambo kama hayo
b)Jinsi gani mambo haya yanatatuliwa: Nadhani wewe unalojibu sahihi zaidi yangu kwa kifupi Siasa zaidi inatumika kuliko principles za uchumi. Mfano, kama unafuatilia suala la inflation je unafikiri kweli serikali inayo taarifa sahihi na za kutosheleza kuhusu mfumuko wa bei? Unafikiri hatua sahihi na muafaka zimechukuliwa? Uchumi tumeambiwa unakuwa 6.8% hali ya watu ni mbaya zaidi kila kukicha, je huo uchumi unakua au ni siasa? utegemezi wa budget 40%,wakati waziri anakosesha serikali kodi kwa kutoa msamaha ni uchumi huo au siasa? na mengine so bado hakuna ufumbuzi kwa matatizo ya kiuchumi tuliyonayo. Ama inawezekana wanafanya kazi zao ila wanasiasa wanawaharibia.
hayo ni maoni yangu na baadhi ya maoni ya watu wengine
c)na (d) Bodi hii itakuwa proffessional bodi kama zilivyo nyingine isipokuwa itakuwa huru ili kuiwezesha kufanya kazi zake huru.
lengo lake kuu kwanza kuwasaidia members wake kukuza proffession yao (wachumi) kuanzia mwanafunzi wa uchumi ambaye atakuwa amejisajili na bodi hiyo, wachumi wote kwenye vyuo vikuu, wafanyakazi wa serikali na private sector na itakuwa ni ya kitaifa n.k
Jukumu kuu la pili kama ulivyoanisha ni kufanya kazi za tafiti mbalimbali kwenye masuala yenye utata . nitakupa mfano Juzi juzi umeona REDET wametoa report ya tafit yao (je ina impact kwa walio serikalini), je wanachi wameelimika? nini kinafuatia hatujui. So Bodi hiyo itakuwa ikifanya tafiti mbalimbali zinazolenga kuendeleza, kuelimisha na kushauri jamii na serikali kwa ujumla.
kazi nyingine za bodi kutoa ushauri wa kitalamu, kwa watu binafsi, financial institutions, private and public companies, serikali na mashirika ya kimataifa.
e) Nani Financer, Hili sio suala la kuogopa kwa sasa (ila bado linajadiliwa) kutaua na annual fees, subscriptions ni kiasi gani siwezi kujua hadi watakapo kaa na kuamua. Wachumi ni proffessionals naamini watatumia proffession yao katika kuraise fund. Mimi binafsi sitii shaka kwa hilo. n.k
F) Athari za wachumi binafsi zitakuwa positive, maana kila wakati kutakuwa na seminary mbali mbali kwa member zitakazokua zinalenga kukuza proffession. Pia kwa wale ambao wanafanya consultancies wataweza kukutana na wenzao ambao wanweza kushikiana na kufanya kazi bora zaidi. Na ieleweke kwamba wachumi nao wanatofautina (health economist, econometrician, industrial econ, n.k)kwa specialization hiyo wale waliokuwa wamejiajiri wenyewe ndio muda mufaka pia wa kufanya networking.
Ikitokea kuna kazi bodi imepewa itatolewa kwa members kwa merits za uzoefu, elimu na pia fair bid. so hakuna atakaye athirika iwe katika vyuo vikuu, private sector and serikalini
f) nadhani muundo nimeshasema ingawa bado majadiliano yanaendelea. Sio lazima bodi iwe inatoa kibali cha mtu kufanya kazi kama mchumi isipokuwa ukiwa na kibali hicho utaweza kusaidiwa katika kufanya kazi zako tofauti na asie nacho(so kutoa kibali haitakuwa primary aim ya kuanzishwa kwa bodi, hii inatokana na maoni ya watu))
g)Ukubwa itakuwa ya kitaifa, mchumi mmoja mmoja atakaribishwa, vile vile kama organisation watakaribishwa.
kama sijakujibu naomba uniwie radhi ila nipo kwenye pressure fulani hadi jumamossi nitakuwa settled nitaweza kujibu kama utakuwa na maswali zaidi. Maoni zaidi yanakaribishwa
Nashukuru sana kwa michango yenu.
Naomba nijibu baadhi ya vipengele vilivyoulizwa na MgonjwaUkimwi. kuna baadhi ya maswali yamerudia ila nitatoa ufafanuzi
a)Kwa sasa matatizo ni mengi, na mifano ipo mingi sana, na baadi ya post imeoanishwa. Mfano sera za kodi katika sekta mbalimbali madini, uwekezaji, petrol &petroleum products,n.k.
jinsi gani serikali inaangalia suala la unemployment, Umeme na athari zake viwandani, income distribution na mambo kama hayo
b)Jinsi gani mambo haya yanatatuliwa: Nadhani wewe unalojibu sahihi zaidi yangu kwa kifupi Siasa zaidi inatumika kuliko principles za uchumi. Mfano, kama unafuatilia suala la inflation je unafikiri kweli serikali inayo taarifa sahihi na za kutosheleza kuhusu mfumuko wa bei? Unafikiri hatua sahihi na muafaka zimechukuliwa? Uchumi tumeambiwa unakuwa 6.8% hali ya watu ni mbaya zaidi kila kukicha, je huo uchumi unakua au ni siasa? utegemezi wa budget 40%,wakati waziri anakosesha serikali kodi kwa kutoa msamaha ni uchumi huo au siasa? na mengine so bado hakuna ufumbuzi kwa matatizo ya kiuchumi tuliyonayo. Ama inawezekana wanafanya kazi zao ila wanasiasa wanawaharibia.
hayo ni maoni yangu na baadhi ya maoni ya watu wengine
c)na (d) Bodi hii itakuwa proffessional bodi kama zilivyo nyingine isipokuwa itakuwa huru ili kuiwezesha kufanya kazi zake huru.
lengo lake kuu kwanza kuwasaidia members wake kukuza proffession yao (wachumi) kuanzia mwanafunzi wa uchumi ambaye atakuwa amejisajili na bodi hiyo, wachumi wote kwenye vyuo vikuu, wafanyakazi wa serikali na private sector na itakuwa ni ya kitaifa n.k
Jukumu kuu la pili kama ulivyoanisha ni kufanya kazi za tafiti mbalimbali kwenye masuala yenye utata . nitakupa mfano Juzi juzi umeona REDET wametoa report ya tafit yao (je ina impact kwa walio serikalini), je wanachi wameelimika? nini kinafuatia hatujui. So Bodi hiyo itakuwa ikifanya tafiti mbalimbali zinazolenga kuendeleza, kuelimisha na kushauri jamii na serikali kwa ujumla.
kazi nyingine za bodi kutoa ushauri wa kitalamu, kwa watu binafsi, financial institutions, private and public companies, serikali na mashirika ya kimataifa.
e) Nani Financer, Hili sio suala la kuogopa kwa sasa (ila bado linajadiliwa) kutaua na annual fees, subscriptions ni kiasi gani siwezi kujua hadi watakapo kaa na kuamua. Wachumi ni proffessionals naamini watatumia proffession yao katika kuraise fund. Mimi binafsi sitii shaka kwa hilo. n.k
F) Athari za wachumi binafsi zitakuwa positive, maana kila wakati kutakuwa na seminary mbali mbali kwa member zitakazokua zinalenga kukuza proffession. Pia kwa wale ambao wanafanya consultancies wataweza kukutana na wenzao ambao wanweza kushikiana na kufanya kazi bora zaidi. Na ieleweke kwamba wachumi nao wanatofautina (health economist, econometrician, industrial econ, n.k)kwa specialization hiyo wale waliokuwa wamejiajiri wenyewe ndio muda mufaka pia wa kufanya networking.
Ikitokea kuna kazi bodi imepewa itatolewa kwa members kwa merits za uzoefu, elimu na pia fair bid. so hakuna atakaye athirika iwe katika vyuo vikuu, private sector and serikalini
f) nadhani muundo nimeshasema ingawa bado majadiliano yanaendelea. Sio lazima bodi iwe inatoa kibali cha mtu kufanya kazi kama mchumi isipokuwa ukiwa na kibali hicho utaweza kusaidiwa katika kufanya kazi zako tofauti na asie nacho(so kutoa kibali haitakuwa primary aim ya kuanzishwa kwa bodi, hii inatokana na maoni ya watu))
g)Ukubwa itakuwa ya kitaifa, mchumi mmoja mmoja atakaribishwa, vile vile kama organisation watakaribishwa.
kama sijakujibu naomba uniwie radhi ila nipo kwenye pressure fulani hadi jumamossi nitakuwa settled nitaweza kujibu kama utakuwa na maswali zaidi. Maoni zaidi yanakaribishwa