ni uamuzi rasmi wa bodi ya tanesco baada ya kimya cha muda mrefu
Sidhani kama kumtimua tu inatosha...
Apelekwe mahakaman na ZZK asisahau kwenda kumtetea
Mh.. Utacikia amepewa kazi nyingine huyo.. Ci ndo utaratibu wao..
Funguka mheshimiwa.....kivipi????Mhando katolewa kafara...
angetakiwa aanze rais wa nchi, yeye ndiye kawafikisha wenzie wote hapo walipo kwa UDHAIFU wake! rubbish!
kutimuliwa sio suruhisho bali sheria ndio inatakiwa ichukue mkondo ili kizazi cha kina mhando kilisicho na haya kwa watanzania kiishie jela mara moja au kufirisiwa kwa mali walizonazo ndio litakuwa fundisho