Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

Mimi nimemaliza chuo hivi karibuni lakini sina mpango wa kulipa mpaka hapo watuhumiwa wa ufisadi watakapowajibishwa.Mpaka hapo viongozi waandamizi wa serikali watakapo tumia vizuri rasilimali za Taifa. Kwa mfano kulipia maji,umeme na huduma nyingine muhimu.Wafanyabiashara wakubwa watakapoliapa kodi n.k mapaka hapo serikali itakavyoweza kukusanya kodi ipasavyo otherwise silipi ng'o na sijui watanipatia wapi.
 
Mimi nimemaliza chuo hivi karibuni lakini sina mpango wa kulipa mpaka hapo watuhumiwa wa ufisadi watakapowajibishwa.Mpaka hapo viongozi waandamizi wa serikali watakapo tumia vizuri rasilimali za Taifa. Kwa mfano kulipia maji,umeme na huduma nyingine muhimu.Wafanyabiashara wakubwa watakapoliapa kodi n.k mapaka hapo serikali itakavyoweza kukusanya kodi ipasavyo otherwise silipi ng'o na sijui watanipatia wapi.

Kamanda wewe kama mimi.

Nous pas bouge.
 
Kwi kwi kwi. Na mkipewa madaraka mtaanza kufisadi kwa sababu waliotangulia walifisadi. Inawezekana ufisadi ni matokeo tu ya vicious cycles zilizoanza zamani.

Thinker Zakumi. Partly unaweza ukawa right.

Ufisadi baba na mama yake ni mfumo dhaifu wa kujitawala usioadhibu na kuwawajibisha wrongdoers, haswa wale wenye kuleta impact kubwa wa kukwiba na kufisadi mabilioni ya fedha za wavuja jasho.Umaskini unaleta chains nyingi za kifikra na kimatendo, thats obvious. Kamanda hapo juu hajakataa kulipa, ila anataka kama kupiga kasia basi sote tupige kuelekea uelekeo mmoja.Kinyume cha hapo, basi kheri mboga na ugali vyote vimwagwe!!
 
Pamoja na hayo toka mwaka 2006 bodi ya mikopo imekuwa ikiwaandikia barua baadhi ya waajiri kuomba taarifa za wafanyakazi wao waliosoma elimu ya juu ili waweze kulipa mikopo hiyo inawezekana baadhi ya waajiri wanaficha taarifa au baadhi ya wafanyakazi hawataki kulipa na mambo kama hayo mbona watu wanaokwepa kodi wanawekwa kwenye magazeti na kampuni zao hatulalamiki


Waajiri wanahusikaje hapa? Hii ni dalili kuwa Bodi haiwafahamu wadeni wake. Sasa mimi nimeajiri vijana waliomaliza Chuo Kikuu hivi karibuni. From nowhere, unakuja kunipa majukumu ya kukutafutia taarifa za hawa vijana ili kurahisisha ukusanyaji wa madeni yako. Kiutaratibu, siruhusiwi kutoa taarifa za staff wangu. Na mimi(mwajiri) ninanufaika vipi hapo kwa kufanya kazi ya kukusaidia kukusanya madeni? Ulipotoa mkopo, mlikubaliana nini kuhusu utaratibu wa malipo? Mimi ninadhani hii bodi ikubali ilichemsha. Waweke utaratibu mzuri(ikiwa ni pamoja na kufuta watumishi wote wa bodi kazi) waanze upya. Ikiwezekana, kampuni binafsi ipewe hiyo kazi ya kusimamia mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu (e.g. PWC, Delloitte etc.). Yes, gharama itakuwa kubwa lakini ni bora kuliko kuendelea na hii bodi. In the long run, faida itaonekana. Watu watakopeshwa kwa utaratibu mzuri na watalipa madeni.
 
Thinker Zakumi. Partly unaweza ukawa right.

Ufisadi baba na mama yake ni mfumo dhaifu wa kujitawala usioadhibu na kuwawajibisha wrongdoers, haswa wale wenye kuleta impact kubwa wa kukwiba na kufisadi mabilioni ya fedha za wavuja jasho.Umaskini unaleta chains nyingi za kifikra na kimatendo, thats obvious. Kamanda hapo juu hajakataa kulipa, ila anataka kama kupiga kasia basi sote tupige kuelekea uelekeo mmoja.Kinyume cha hapo, basi kheri mboga na ugali vyote vimwagwe!!

Nakuelewa. Lakini hiyo sio solution. Solution ni ku honor contract. Kama ulikopa na kusema kuwa utalipa, basi lipa. Na hapo utakuwa na kesi nzuri ya kuwabana mafisadi.

Ukweli wa mambo watanzania hawana tabia ya kukopa na kulima mikopo. Mtu ana visingizio vingi why he shouln't pay back. Hivyo mtu kusema kuwa hawezi kulipa kwa sababu ya mafisadi, haionyeshi kuwa alikuwa anakumbuka deni lake au kuwa na intent ya kulilipa.
 
Hhahahahah! Heri mimi sijasoma! Kama hujalipa deni, wewe kalipe tu. Isiwe taabu sana. Umesomeshwa bure, sasa umeshapata lijikazi la maana, wewe umekalia kutanua tu. Wawezeshe wadogo zetu wasome bwana. Lazima kuwe na revolving fund ili haya mambo yaweze kwenda. Otherwise hii nchi itakuwa na mambumbumbu tu. Ki ukweli ni kwamba serikali haiwezi kukupesha wote, hasa ukizingatia idadi ya vyuo ilivyokubwa. The likes of UDOM ina intake ya 10,000 per annum. Can u imagine than? In the next two years, UDOM itakuwa na more than 40,000 students. Sasa serikali kuu itatoa wapi mihela yote hiyo? Rudisheni hela za watu bwana na muache masihara na haya mambo.

Kama ni kusomeshwa bure, basi waanze wao wenyewe kulipa kwa kuwa wakati wa Mwalimu JKN kila mtu alisoma bure. Kuanzia mkulu wa kaya, Spika n.k.

Hapa tunazungumzia utaratibu wao una matatizo. Kama wangekuwa na utaratibu mzuri isingechukuwa 13 year kujuwa kuwa natakiwa kulipa mkopo tena kupitia gazetini. Kama wameamua kupublish majina kwa nini wasiweke na kiasi tunachodaiwa pia ili tujuwe.

Sasa kama wewe unategemea hizo hela ndizo zitawasomesha 40, 000 UDOM wakati intake za wakati ule ilikuwa only 2000 kwa all higher leaning institution then nafikiri una matatizo binafsi.
 
Kama ni kusomeshwa bure, basi waanze wao wenyewe kulipa kwa kuwa wakati wa Mwalimu JKN kila mtu alisoma bure. Kuanzia mkulu wa kaya, Spika n.k.

Hapa tunazungumzia utaratibu wao una matatizo. Kama wangekuwa na utaratibu mzuri isingechukuwa 13 year kujuwa kuwa natakiwa kulipa mkopo tena kupitia gazetini. Kama wameamua kupublish majina kwa nini wasiweke na kiasi tunachodaiwa pia ili tujuwe.

Sasa kama wewe unategemea hizo hela ndizo zitawasomesha 40, 000 UDOM wakati intake za wakati ule ilikuwa only 2000 kwa all higher leaning institution then nafikiri una matatizo binafsi.

Kiongozi utaumiza kichwa chako kumuelimisha mtu ambaye hata hajui anachokiongea.Kwa kifupi hana input kwenye hii ishu, anaongea tu kwa sababu anataka kukasirisha watu humu.
 
Nakuelewa. Lakini hiyo sio solution. Solution ni ku honor contract. Kama ulikopa na kusema kuwa utalipa, basi lipa. Na hapo utakuwa na kesi nzuri ya kuwabana mafisadi.

Ukweli wa mambo watanzania hawana tabia ya kukopa na kulima mikopo. Mtu ana visingizio vingi why he shouln't pay back. Hivyo mtu kusema kuwa hawezi kulipa kwa sababu ya mafisadi, haionyeshi kuwa alikuwa anakumbuka deni lake au kuwa na intent ya kulilipa.

Certainly ku-honor mkataba ni suala la kumtofautisha muungwana kutoka ktk kundi la watu. Nakubali, lakini the question is : what if there is no watertight contract?

Another facet is like this,
Najua ni easy way out kuwabana wanafunzi walipe mikopo, wafanyakazi walipe kodi etc..lakini emphasis ndogo sana inawekwa kwenye kuangalia makundi mengine ktk jamii yana-honor vipi dhamana zao ktk jamii ileile? Mathalan inasemekana kuna makampuni makubwa na wafanyabiashara wakubwa hawalipi kodi..n.k. Ndio hapo inapokuja hoja ya kamanda hapo juu, na nikai-elaborate kidogo kwa sisi tulo na uzoefu na mambo ya usafiri majini. Kama sote twakubaliana tupige kasia, basi tufanye hivyo kwa nia moja na sio wengine wanapiga kasia, wangine wala madafu.
 
unajidhalilisha sana
na dini yako unaidhalilisha pia
pole sana mdogo wangu
ukweli ndio huo!! ww nani ulazimishe mtu mkulipa deni wakati sio partner katika makubaliano ya mkopo?? EPA kwanza ndio wengine wafuate. Najua mafisadi wanataka wasahaulile kwa ishu ndogo eti mikopo ya kusoma chuo! wapeni ajira na muanze kukata mishahara huko. Kila kitu mshauza na walionunua wanaleta watu kutoka kwao wakati vijana wetu wanakosa ajira mnataka walipe kutoka wapi? walioajiriwa sasa wanalipa lakini wasio na ajira ndio hivo tena
 
Mimi nimemaliza chuo hivi karibuni lakini sina mpango wa kulipa mpaka hapo watuhumiwa wa ufisadi watakapowajibishwa.Mpaka hapo viongozi waandamizi wa serikali watakapo tumia vizuri rasilimali za Taifa. Kwa mfano kulipia maji,umeme na huduma nyingine muhimu.Wafanyabiashara wakubwa watakapoliapa kodi n.k mapaka hapo serikali itakavyoweza kukusanya kodi ipasavyo otherwise silipi ng'o na sijui watanipatia wapi.

Usitake kutumia ufisadi kama kisingizio cha kutolipa madeni, two wrongs do not make a right.Ukikataa kulipa kwa sababu mafisadi hawajalipa in essence unakubali kuingia katika kundi la mafisadi na utakosa moral authority yoyote ya kusema ufisadi.

Mimi ninachopinga si kudai haya madeni, ila haya mambo ya kuchapishana magazetini majina na kutaka kufungana bila ya kuwa na strategy yako medieval, they reek of some Hammurabi code shyt.

Kama huwezi kulipa kwa sababu huna kazi that is a legitimate reason, ambayo hata serikali inatakiwa iitie maanani kabla ya kudai.Lakini nia ya kulipa iwepo.

Tusije kujidai tunakemea ufisadi kwa sababu tu hatujapata chance, na tukipata chance ya kufanya ufisadi hata kwa kutolipa mkopo wa ada ya chuo tu tunairukia kwa kisingizio cha kwamba EPA hawajalipa.

Argument ya EPA inaweza kutumiwa na wananchi kuibana serikali ifanye vitu kwa the right priority, lakini haiwezi kutumiwa na mtu aliyekopa na sasa anadaiwa, ataonekana mjanja mjanja tu anataka ku manipulate watu kwa faia yake.

We are way beyond that level of manipulation hapa JF.
 
Moderator, Naomba hii ikae kwa muda ili tupate some infomation kutoka kwa walio nchini.


Nasikia Bodui ya mikopo leo imetoa majina ya wanaodaiwa na wametowa siku 30 otherwise wanakufikisha kotini.

Kuna wengine kama sisi ambao tulimaliza zaidi ya miaka 13 iliyopita nasikia kuwa majina yetu yapo.

I am not sure if I am wrong, kwavile wanaonekana wana details zetu kwa nini hawakuamua kutuandikia barua kwenye permanent address zetu kutupa hii taarifa. Au wana assume wote tuna access na magazeti. Toka ni graduate hiyo miaka ya 90 sikuwahi kusikia anything kuhusu huo mkopo na namna ya kuulipa until today niliposikia kuwa jina langu limetoka kenye the Gurdian ya leo.

Mwenye info naomba atuletee hapa, sitaki nijekuwa arrested airport nikirudi likizo.


Pole sana mkuu . Una hoja ya kusema mahamani kwamba you have never been contacted regarding the matter waondoe kesi mkaanze upya . Magezi na wengine hapa wamesha jua kwamba nyie ni vinara JF sasa wanawakali kooni ama kwikwikwikwiw .
 
ukweli ndio huo!! ww nani ulazimishe mtu mkulipa deni wakati sio partner katika makubaliano ya mkopo?? EPA kwanza ndio wengine wafuate. Najua mafisadi wanataka wasahaulile kwa ishu ndogo eti mikopo ya kusoma chuo! wapeni ajira na muanze kukata mishahara huko. Kila kitu mshauza na walionunua wanaleta watu kutoka kwao wakati vijana wetu wanakosa ajira mnataka walipe kutoka wapi? walioajiriwa sasa wanalipa lakini wasio na ajira ndio hivo tena

Exactly. Mwambie huyo.

Mchukuaji mkopo wakati anaenda alienda kwa wakti wake na atalipa kwa wakati wake na kujinafasi kwake. haya mengine ni makelele ya vyura tu hayamzuii tembo kunywa maji.
 
Certainly ku-honor mkataba ni suala la kumtofautisha muungwana kutoka ktk kundi la watu. Nakubali, lakini the question is : what if there is no watertight contract?

Another facet is like this,
Najua ni easy way out kuwabana wanafunzi walipe mikopo, wafanyakazi walipe kodi etc..lakini emphasis ndogo sana inawekwa kwenye kuangalia makundi mengine ktk jamii yana-honor vipi dhamana zao ktk jamii ileile? Mathalan inasemekana kuna makampuni makubwa na wafanyabiashara wakubwa hawalipi kodi..n.k. Ndio hapo inapokuja hoja ya kamanda hapo juu, na nikai-elaborate kidogo kwa sisi tulo na uzoefu na mambo ya usafiri majini. Kama sote twakubaliana tupige kasia, basi tufanye hivyo kwa nia moja na sio wengine wanapiga kasia, wangine wala madafu.


Mkuu:

Hapa ni visingio tu. Na kukataa kulipa ni kuendeleza bull sh!t. Ni tabia ya watanzania kuwa na visingio kwanini halipi deni. Hii ni tabia tuliyo nayo na kwa namna moja inakwamisha maendeleo.

Kwa mfano: kuna jamaa mmoja aliingia viwanja hana kitu. Lakini alichacharika na shule na baadaye kupata kazi nzuri. Kati ya waliompokea akakopa kutoka kwa jamaa. Mkopaji akiulizwa kuhusu malipo, anakuja juu na kusema sisi tumekupokea wewe hapa.

Kuna ndugu zangu walionizidi umri. Ukiwakopesha pesa basi, basi wana sababu mbalimbali za kutolipa. Mtu anasema, ulipokuwa shule tulikusaidia nauli.

Kwa maoni yangu mimi. Watu wanatakiwa ku-honor contracts kama zilivyokuwa stipulated. Mambo ya JK alisomeshwa bure, kuna mafisadi ni mambo mengine kabla.
 
Kwa maoni yangu mimi. Watu wanatakiwa ku-honor contracts kama zilivyokuwa stipulated. Mambo ya JK alisomeshwa bure, kuna mafisadi ni mambo mengine kabla.

Zakumi.. mkataba haueshimiwi kwa sababu ni mkataba:

a. Mkataba ni lazima uwe wa haki. Huwezi kuingia mkataba under false pretense or misleading of the other part or not in good faith.

b. Mkataba ni lazima uwe umekubaliwa na pande zote mbili. Mkataba unaoingiwa huku upande mmoja umeshikilia masharti ya pande zote mbili siyo mkataba ni kitanzi!

c. Bodi ya Mikopo haitoshi kusema kuwa "tunamdai x, y kiasi z".. ni lazima ioneshe kuwa ilimkopesha huyo x,y, kwa mkata alioingia tarehe fulani, na kwa masharti fulani na kwamba huyo mtu amedefault. Kusema ati mtu ajitolee kulipa mkopo ambao hakuna maandishi au ushahidi kuwa alichukua ni kuchezea watu akili. At least waoneshe kuwa hao wanaodai walichukua huo mkopo.

d. Ni hatari sana kwa wananchi kuitikia serikali "inaposema" bila kuhoji au kuibana serikali hiyo. Matokeo yake wao wenyewe wanafungulia ubabe (tyranny) huku wakikenua meno. Serikali ikisema tulikukopesha hiki kiasi na ulipe na wewe huna kumbukumbu na wao hawana kumbukumbu iweje ulipe? The burden of proof ya deni iko mikononi mwa bodi. Otherwise, watu hawatakiwi kulipa, period. Next time, waingie na mikataba yenye kuweze kusimamiwa.

e. Hii bodi tayari imeshafuja mabilioni ya fedha za Watanzania na sasa wanataka kuwabana watu kutokana na uzembe wao wenyewe. NI wao waliwalipa watu mara mbilimbili (double allocation) na ni wao walilipwa wanafunzi hewa (ghost students) na ni wao waliojimegea baadhi ya mikopo hiyo (kama nilivyoonesha almost three years ago with undisputable emperical evidence)..

Lakini kwa vile watu wamesikia "serikali imesema" basi watu wanatetemeka.
 
Nakuelewa. Lakini hiyo sio solution. Solution ni ku honor contract. Kama ulikopa na kusema kuwa utalipa, basi lipa. Na hapo utakuwa na kesi nzuri ya kuwabana mafisadi.

Ukweli wa mambo watanzania hawana tabia ya kukopa na kulima mikopo. Mtu ana visingizio vingi why he shouln't pay back. Hivyo mtu kusema kuwa hawezi kulipa kwa sababu ya mafisadi, haionyeshi kuwa alikuwa anakumbuka deni lake au kuwa na intent ya kulilipa.

Zakumi,

Tatizo hapa siyo kulipa ila ni kulipa nini?? Kusikiliza na kuwaelewa wengine sometimes is very important, inasaidia kutokupoteza muda.

Kuna watu humu wanaelewa nini wanatakiwa kulipa na tayari wanalipa. Sasa kuna kundi ambalo hatuelewi tunatakiwa kulipa nini. Unajuwa wakati wengine tuko chuo tuliambia cost sharing na tukapewa form kujaza bila kuambiwa ni kiasi gani tutashare.

Sasa swali, hivi kwako cost sharing maana yake ni mkopo?? Kama walikuwa wanatukopesha kwa nini hawakuuita mkopo badala yake wakasema cost sharing!!??? Sasa huoni ajabu after solid 13 years kuna bodi ya mikopo ambayo hata haikuwepo then inasema tulipe mkopo ambao sisi tuliambiwa ni cost sharing???
 
Sasa swali, hivi kwako cost sharing maana yake ni mkopo?? Kama walikuwa wanatukopesha kwa nini hawakuuita mkopo badala yake wakasema cost sharing!!??? Sasa huoni ajabu after solid 13 years kuna bodi ya mikopo ambayo hata haikuwepo then inasema tulipe mkopo ambao sisi tuliambiwa ni cost sharing???

point well taken.. walipoleta "cost sharing" kwenye sekta ya afya, wagonjwa hawakudaiwa sehemu iliyolipwa na serikali.. that is what it means by "sharing"..
 
Zakumi.. mkataba haueshimiwi kwa sababu ni mkataba:

a. Mkataba ni lazima uwe wa haki. Huwezi kuingia mkataba under false pretense or misleading of the other part or not in good faith.

b. Mkataba ni lazima uwe umekubaliwa na pande zote mbili. Mkataba unaoingiwa huku upande mmoja umeshikilia masharti ya pande zote mbili siyo mkataba ni kitanzi!

c. Bodi ya Mikopo haitoshi kusema kuwa "tunamdai x, y kiasi z".. ni lazima ioneshe kuwa ilimkopesha huyo x,y, kwa mkata alioingia tarehe fulani, na kwa masharti fulani na kwamba huyo mtu amedefault. Kusema ati mtu ajitolee kulipa mkopo ambao hakuna maandishi au ushahidi kuwa alichukua ni kuchezea watu akili. At least waoneshe kuwa hao wanaodai walichukua huo mkopo.

d. Ni hatari sana kwa wananchi kuitikia serikali "inaposema" bila kuhoji au kuibana serikali hiyo. Matokeo yake wao wenyewe wanafungulia ubabe (tyranny) huku wakikenua meno. Serikali ikisema tulikukopesha hiki kiasi na ulipe na wewe huna kumbukumbu na wao hawana kumbukumbu iweje ulipe? The burden of proof ya deni iko mikononi mwa bodi. Otherwise, watu hawatakiwi kulipa, period. Next time, waingie na mikataba yenye kuweze kusimamiwa.

e. Hii bodi tayari imeshafuja mabilioni ya fedha za Watanzania na sasa wanataka kuwabana watu kutokana na uzembe wao wenyewe. NI wao waliwalipa watu mara mbilimbili (double allocation) na ni wao walilipwa wanafunzi hewa (ghost students) na ni wao waliojimegea baadhi ya mikopo hiyo (kama nilivyoonesha almost three years ago with undisputable emperical evidence)..

Lakini kwa vile watu wamesikia "serikali imesema" basi watu wanatetemeka.

Good argument Kiongozi.

Nadhani thinker Za10 atakuwa amekuelewa.
 
Dawa ya Deni ni kulipa tu. Hoja zenu zilenge kurudisha fedha mlizokopeshwa, wengi wanazisubiri ili nao wasome
 
Back
Top Bottom