Bodi ya mikopo yatangaza rasmi wameachia majina ya wanafunzi na mikopo yao.

Wakubwa fanyeni kusubir wakiweka muya2pie jf nimechoka kichwa kizito xana man city wameniangusha mbaya,

mmmmhhhhhhhh na wewe umo karibu sana kule sports..

xxxxxxxxxxxxx============xxxxxxxxxxxxx

unaweza kufa bure na bora siku bet!
 
bongo bhana kumbukeni kurudisha ndio noma na lazima urudishe kwaiyo tuwe makini na utumiaji

Usipokufa lazima kurudisha kama ulipewa, haijalishi ulitumiaje. Kutumia vizuri ni muhimu ili usiwasumbue watu.
 
Kwani ni nini hiyo mkuu?

kirefu ni Internet Protocol ambayo inatumika kugawa access ya internet kwenye kifaa chako, watundo wa mambo za internet wakipata IP yako wanaweza fanya kitu mbaya hadi ukashangaa
 
labda kufikia leo jioni yatakua tayari!

mkuu epuka kuish kwa probability,maisha yakusema labda kesho,jion, mwaka ujao ni kama umwemwomba Mungu usiyejua yuko wapi,lkn wa2 wako turdo na 2nawajua kwanin usihoji? Wako pale kwa ajili yako,mm,yule lzm 2jue lini wanatoa spesific cyo kuzuga then unaficha aibu yao kwa kusema majibu ya labda,labda.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom