ila yote kwa yote....tunafurahia sana na tuna hamu sana na loan!!! ivi tunajua kuna kulipa kweli??? je yaliyomkuta huyo jamaa yakikukuta itakuaje???? ila ndo hamna jinsi hamna loni hamna chuo!!! mungu bariki tz mungu walaani mafisadi hasa wa loan board!!
"wametoa financial statement inayoonekana wanamdai milioni 7 wakati hadaiwi kiasi hicho" unamaana alichukua mkopo sio? na je fedha halali anadaiwa kiasi gani
kiasi anachodaiwa kwenye hiyo mil 7 toa mil 2 ya ada ya mwaka wa kwanza na wa pili.ambazo hazikulipwa.kuhusu kuajiriwa,jina lake lilitoka kama wengine,na alipangiwa na wizara akaripoti bukoba vijijini,akaenda kuripoti,ila mkurugenzi akakataa kumpangia kituo hadi awe na transcript,ambazo zilikuwa bado kutolewa wakati huo.alipoomba chuoni provisional result,ndipo akaambiwa habari za deni na kunyimwa,so bkb vijijini wakasema hawawezi kumpangia kituo.juu ya sarakasi za ajira hii nalo lina utata wake pia tutamwaga hapa wakati mwingine,bado tunatafuta vielelezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.