Application za mikopo ya elimu ya juu 2016 zitaanza lini?

R100

JF-Expert Member
Sep 11, 2014
337
81
Hivi inachukuwa mda gani kufunguliwa kwa system ya kuapply mikopo baada ya mtihani wa kidato cha sita naombeni msaada
 
Na wanafungua baada ya muda gani kwa sababu ya kuuliza hivyo ni kwa sababu cheti changu cha kuzaliwa ndio kinashughulikiwa saivi hadi tarehe sita mwezi wa tano sasa sijui kitakuwa tayari ndani ya muda au vipi
 
Na wanafungua baada ya muda gani kwa sababu ya kuuliza hivyo ni kwa sababu cheti changu cha kuzaliwa ndio kinashughulikiwa saivi hadi tarehe sita mwezi wa tano sasa sijui kitakuwa tayari ndani ya muda au vipi
BODI ya mikopo hufungua mwezi wa tano na mwisho mwezi wa sita na baada ya uruhusu watu kuomba tena ila hii ya kuomba tena usiitarajie huwa ni bahati nasibu kwan muda wenyewe huwa ni miez miwili tu
 
Mwaka jana walifungua maombi ya mkopo mwezi wa nne tarehe 25 kama sijakosea.
Huwa inafunguliwa kabla form six kuanza mitihani yao ya taifa.
Ili wale walioahirisha mwaka plus madiploma waanze kuaply mikopo.
 
Mwaka jana walifungua maombi ya mkopo mwezi wa nne tarehe 25 kama sijakosea.
Huwa inafunguliwa kabla form six kuanza mitihani yao ya taifa.
Ili wale walioahirisha mwaka plus madiploma waanze kuaply mikopo.
Mwaka jana walifungua maombi ya mkopo mwezi wa nne tarehe 25 kama sijakosea.
Huwa inafunguliwa kabla form six kuanza mitihani yao ya taifa.
Ili wale walioahirisha mwaka plus madiploma waanze kuaply mikopo.


MADIPLOMA ni nini?
 
Huwa inafunguliwa kbl ya Form Six kumaliza mitihani na huchukua kipindi cha miezi miwili maombi kutumwa. Pengine kuna utaratibu unaendelea hivyo usiogope utafanya mambo siku si nyingi.

JIHAKIKISHIE YAFUATAYO KABLA YA KUANZA KUOMBA MKOPO
1. Sh. 30,000 kwa ajili ya maombi
2. Uwe na uhakika wa internet
3. Kama huna cheti cha kuzaliwa anza kukihangaikia (namba ya cheti zinahitajika)
4. Namba za kitambulisho za mdhamini wako
5. Kama wazazi wako wamefariki au wana ulemavu wowote,andaa ripoti ya daktari au cheti cha kifo

Mwisho jiandae kuzurura kwa wenyeviti wako wasaini kisha uende mahakamani kuapa.
 
Mbona ukiingia heslb hapo pakulegister pamefungwa ndo nn
Ni kweli. Mambo bado, Itakua 'Guidelines & Criteria' zinazosimamia utoaji mikopo kwa mwaka huu hazijakamilika. Usipozisoma hizo, umepotea. Ngoja tuwasubiri!
 
Huwa inafunguliwa kbl ya Form Six kumaliza mitihani na huchukua kipindi cha miezi miwili maombi kutumwa. Pengine kuna utaratibu unaendelea hivyo usiogope utafanya mambo siku si nyingi.

JIHAKIKISHIE YAFUATAYO KABLA YA KUANZA KUOMBA MKOPO
1. Sh. 30,000 kwa ajili ya maombi
2. Uwe na uhakika wa internet
3. Kama huna cheti cha kuzaliwa anza kukihangaikia (namba ya cheti zinahitajika)
4. Namba za kitambulisho za mdhamini wako
5. Kama wazazi wako wamefariki au wana ulemavu wowote,andaa ripoti ya daktari au cheti cha kifo

Mwisho jiandae kuzurura kwa wenyeviti wako wasaini kisha uende mahakamani kuapa.
Safi sana. Cheti cha kifo au kibali cha mazishi kinachotolewa na Serikali!
 
Safi sana. Cheti cha kifo au kibali cha mazishi kinachotolewa na Serikali!
Bibi Mikopo samahani. Kuna Jamaa angu aliomba mkopo mwaka Jana na kwa bahati mbaya au nzuri akapewa boom pekee. Alisahau kuappeal. Je,atatakiwa aombe tena au atasubiri muda wa kuappeal?
 
Bibi Mikopo samahani. Kuna Jamaa angu aliomba mkopo mwaka Jana na kwa bahati mbaya au nzuri akapewa boom pekee. Alisahau kuappeal. Je,atatakiwa aombe tena au atasubiri muda wa kuappeal?
Duh. Ninavyofahamu hilo unaloita boom na lo ni mkopo: Kimsingi mkopo unatolewa kwa items zifuatazo; Meals and Accommodation charges; Books and Stationery expenses; Special Faculty Requirement expenses; Field Practical Training expenses; Research expenses; na Tuition Fees. Kama status yake imebadilika, tofauti na ilivyokuwa wakati anaomba na kupewa alichopewa, basi awasilishe wakati wa appeal. Otherwise, ninavyojua akiappeal kwa sababu zilezile, atakosa. Cheers
 
Back
Top Bottom