Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu yaanza kukata madeni kwa formula mpya!

hao helsb nawashangaa kwanza, wana matatizo haiwezekan watu wamesoma koz moja harafu mkopo wakapa the same, leo kwenye kulipa unakuta kuna wanaodai 6mil wengine 2mil, wakat kozi na mkopo ulikuwa unafanana wakat wa masomo. Wapen salamu zangu! Nitawatafuta cku! Najua nitakuwa nawadai muda huo.
 
Kuna 3 trillion Sauzi wazilete zisomeshe Masters sasa. Si zinatosha wajameni?
 
Eeeeee kazi ipo asa ivi maana duuu! Tutalipa ivo ivo tutafanyaje sasa maana ndio mfumo wenyewe wa nchi yetu
 
Jamani ni mwezi wa pili sasa watumishi mbalimbali wa Serikali Kuu na Taasisi zake ambao wameanza kukatwa malipo na Mfuko wa Board ya wanafunzi wameshuhudia utaratibu mpya wa makato hayo, Awali walikuwa wakikata 31,000/= flat kwa wote wanaostahili, sasa wamekuja na formular mpya ambayo wanadai wanakata 10% ya Disposable income ambayo inafikia mtu kukatwa hadi kufikia sh 150,000/- pasina kujali liabilities nyingine, huu utaratibu si sahihi na aukubaliki hata kidogo na inavyoonekana aukufanyiwa utafiti hata kidogo.

Jmani ndugu zangu wana JF naomba tushilikiane kupinga ukandamizaji huu kwa mliopo Jamvini na ambao hawapo jamvini,

Naomba kutoa hoja!
pole sana kijana
 
Guys help me! Baada ya ku graduate last year mi nilienda kijijin kwe2 kulima vitunguu na huu ni mwaka wa pili tangu nitoke varsity! Cna plan ya kuajiriwa na private sector or public...so bodi watanikataje hela yao? Au hadi niwapelekee mwenyewe?
 
Kukopa harusi kulipa matanga? Ungekuja na hoja ya kutaka wale waliokopa kisha wakijiajiri kwenye sekta binafsi nao watafutwe warudishe hiyo mikopo.
Hivi mnafikiri msiporudisha watoto wetu watasoma?
 
Guys help me! Baada ya ku graduate last year mi nilienda kijijin kwe2 kulima vitunguu na huu ni mwaka wa pili tangu nitoke varsity! Cna plan ya kuajiriwa na private sector or public...so bodi watanikataje hela yao? Au hadi niwapelekee mwenyewe?

Kwanza mi nakupa big up kwa kuthubutu kujiajiri! Kuhusu ku-refund hiyo loan while uko self employed,ninavyofahamu mimi na kwa utaratibu wa saiz wa kurudisha hiyo mikopo....bodi hawawezi kukupata kabisa kwa huko vilage uliko,labda mwenyewe uamue kuwafuata ili wakupe utaratibu wa jinsi ya kurudisha huo mkopo to all self employed. Ila kuna muda fulani walisema wangekujandaa utaratibu wa kuwawezesha even all self employed kurudisha hiyo mikopo kupitia kwa watendaji wa vijiji. But Until now sielewi huu utaratibu ulikoishia unless fuatilia ktk website yao ya www.heslb.go.tz maana nakuona mkuu una usongo sana wa kuanza kurudisha huo mkopo,,,big up!
 
Kwanza mi nakupa big up kwa kuthubutu kujiajiri! Kuhusu ku-refund hiyo loan while uko self employed,ninavyofahamu mimi na kwa utaratibu wa saiz wa kurudisha hiyo mikopo....bodi hawawezi kukupata kabisa kwa huko vilage uliko,labda mwenyewe uamue kuwafuata ili wakupe utaratibu wa jinsi ya kurudisha huo mkopo to all self employed. Ila kuna muda fulani walisema wangekujandaa utaratibu wa kuwawezesha even all self employed kurudisha hiyo mikopo kupitia kwa watendaji wa vijiji. But Until now sielewi huu utaratibu ulikoishia unless fuatilia ktk website yao ya <a href="http://www.heslb.go.tz" target="_blank">www.heslb.go.tz</a> maana nakuona mkuu una usongo sana wa kuanza kurudisha huo mkopo,,,big up!
<br />
<br />
thnx mæn 4 ua advice! Cna usongo wa kurudisha bt nlikuwa natafuta technical advice! Haya mambo ya kujiajiri yanawezekana mtu ukiamua bra! Vijana wengi wanaöna ni vigumu bt it can b done if u play ua party!
 
Mbona 10% ni kidogo? Je wangekopa Banks si wangelipa zaidi ya hiyo na interest juu. Pia wengi ni vijana ambao bado majukumu hayajapandiana. Jamani DAWA YA DENI NI KULIPA, acheni kutetea hata mambo yaliyo wazi tena ni HAKI na WAJIBU.

you must be joking!!
 
This is not fair at all,we victims we should think critically on how to stop these rubbishes which harms thousand of people and few out of million's benefit the hot cake of this nation.ladies and gents,lets us wake up and resist this situation with facts.......
 
Back
Top Bottom