R.Mkangala
Member
- May 25, 2011
- 8
- 4
Jamani ni mwezi wa pili sasa watumishi mbalimbali wa Serikali Kuu na Taasisi zake ambao wameanza kukatwa malipo na Mfuko wa Board ya wanafunzi wameshuhudia utaratibu mpya wa makato hayo, Awali walikuwa wakikata 31,000/= flat kwa wote wanaostahili, sasa wamekuja na formular mpya ambayo wanadai wanakata 10% ya Disposable income ambayo inafikia mtu kukatwa hadi kufikia sh 150,000/- pasina kujali liabilities nyingine, huu utaratibu si sahihi na aukubaliki hata kidogo na inavyoonekana aukufanyiwa utafiti hata kidogo.
Jmani ndugu zangu wana JF naomba tushilikiane kupinga ukandamizaji huu kwa mliopo Jamvini na ambao hawapo jamvini,
Naomba kutoa hoja!
Jmani ndugu zangu wana JF naomba tushilikiane kupinga ukandamizaji huu kwa mliopo Jamvini na ambao hawapo jamvini,
Naomba kutoa hoja!