Hapo jana tovuti ya heslb wametoa majina mapya ya waliopata mikopo yacyozidi mia 2 kwa chuo kimoja,
HONGERA KWA WANASCIENC MLIOPATA
Nasema hivi nkimaanisha kama wewe ni facult za social scienc na biashara ucangaike kutafuta jina lako maana hautalipata na c kwamba limesahaulika lah hasha,ila jbu unalo.,
Kwa mtazamo wangu cjaona sababu nyingne ilyowafnya bod kutoa majina haya machache namna hii tena kwa facult chache ila 2 kuwatenganisha na kuwapunguza kasi wale waliokua mstar wa mbele katka kudai mikopo yao,
Sasa jamani ivi wewe ambaye umepata mkopo sasa iv ni kwel utakaa kmya sasa na kuwaacha wenzako uliokua nao katka mbio iz za kusaka mkopo et 2 kwa sababu we co mhanga tena,???kama jbu lako ni hapana (genuine) bs kwel 2endelee kufatlia ishu hi mpaka ktakapo eleweka pale wizara ya elimu,
NIC DAY 2 U ALL
HONGERA KWA WANASCIENC MLIOPATA
Nasema hivi nkimaanisha kama wewe ni facult za social scienc na biashara ucangaike kutafuta jina lako maana hautalipata na c kwamba limesahaulika lah hasha,ila jbu unalo.,
Kwa mtazamo wangu cjaona sababu nyingne ilyowafnya bod kutoa majina haya machache namna hii tena kwa facult chache ila 2 kuwatenganisha na kuwapunguza kasi wale waliokua mstar wa mbele katka kudai mikopo yao,
Sasa jamani ivi wewe ambaye umepata mkopo sasa iv ni kwel utakaa kmya sasa na kuwaacha wenzako uliokua nao katka mbio iz za kusaka mkopo et 2 kwa sababu we co mhanga tena,???kama jbu lako ni hapana (genuine) bs kwel 2endelee kufatlia ishu hi mpaka ktakapo eleweka pale wizara ya elimu,
NIC DAY 2 U ALL