Bodi ya mikopo,napenda kuwapongeza kwa kaz nzur ya kuwasaidia wanafunz wa elimu ya juu kwa kuwapa mikopo ambayo kwa namna 1 ama nyingne inawasaidia wanafunz kugharamia baadh ya gharama mbalimbali. Lakin kiukwel n kwamba lengo lenu la kuwasaidia wanafunz lipo zaid kimatabaka kwan hasa tunaostahl kupata hatupat na wasiostahl ndio wanapata! 2nahtaj mkopo il 2some jaman!