Bodi ya mikopo na utoja pesa za mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu

Mabulangati

JF-Expert Member
Dec 29, 2010
796
164
Ndugu zangu ni mara kadhaa kumekuwa na thrend kuhusu bodi ya mikopo na namna inavyofanya kazi. Watu wengi walitoa mawazo na ushauri za uhakika na yanayotekelezeka. Pamoja na hayo, kulikuwa na swala la bodi ya mikopo kuwayaachia mabenki kazi ya distribution ya mikopo na collection of debts bila kutoza riba kwa kuwa hela hizo zingetoka serikalini. Bodi ibaki kufanya kazi za uratibu pekee. Pamoja na hayo yote na mambo mengi yaliyosemwa Bungeni na katika kongamano liliongozwa na Kitila Mkumbo pale UDSM, bodi imeng'ang'ania kazi isiyoiweza na kina Mwaisoba wanabaki wakisema watu wanafanya bodi kuwa jimbo la uchaguzi.

Leo tunavyozungumza bodi hawana pesa za kuwapa wanafunzi kwa mhula unaokuja na kwa habari nilizozisikia mtu akiongea na mtu mwingine kwa simu kutoka ofisi fulani nyeti ni kwamba kuna uwezekano mkubwa vyuo kadhaa hasa UDSM kufunguliwa baada ya wiki mbili badala ya jumatatu ijayo ya tarehe 27/02/2012. Hii ni kutoka na kuogopa migomo na migogoro isiyokua ya lazima vyuoni.

Nawasihi wanafunzi wenzangu wa Ardhi, tuwaombe watawala wetu waungane na UDSM kutofungua chuo mpaka wahakikishe kuwa wanafunzi wanapata fedha za kujikimu kabla ya kurudi vyuoni.

Mwenye mawazo zaidi au taarufa za uhakika kuhusu kusogezwa mbele tarehe ya kufungua chuo UDSm atupatie tafadhali
 
Kesho natinga huko kwenye uwanja wa mapambano kuckilizia hzo ngonjera za heslb.
 
Kuna tetec kuwa pesa za mkopo wamelipwa madaktari ili kuzima mgomo wao, kwa mwenye kulifahamu vyema hili suala jaman,
 
Hzo,habar mwenyewe nimezisikia, ila nahc kama ni rumours tu, ,kwani bajeti si ilishapangwa? ,,kama ni kwel bac patachmbika, pale UDOM,
 
Nchi iko taabani kifedha, matumizi ya ovyo ovyo ya govt ndo yametufikisha hapa, kila siku unasikia mkuu wa nchi kasafiri na kila safari ina cost si chini ya 500mil sasa hapo hazina itaacha kukauka, bajeti inamegwamegwa kila kukicha na haifatwi, tutateseka sana mpaka 2015.
 
Back
Top Bottom