Bodi ya mikopo na ada ya wanafunzi

Uparo

Member
May 4, 2012
55
9
Wanafunzi waliomaliza mwaka wa tatu ktk mwaka wa masomo 2010/11 ktk chuo kikuu cha dodoma na waliokuwa wanalipiwa ada na bodi ya mkopo hatimaye wamenyimwa vyeti vyao kwa maelezo kuwa wanadaiwa ada ambayo bodi ilitakiwa kuwalipia na hata hivyo wengi wa wanafunzi hao walikuwa wakisaini ada zilizokuwa zinatumwa na haieleweki tatizo nn hata hivyo wahasibu husika ktk kitivo cha lugha na sayansi jamii wanadai kuwa bodi hawakulipa hela.kesho naenda kwenye ofisi ndogo ya bodi huku dodoma then nitawajuza.source mm mwenyewe
 
ili ccm iendelee kutawala ni lazima iwanyime wanafunzi wengi mikopo ili waendelee kuwa wajinga.
 
Huu sasa ni upuuuzi, yani mtu unasoma miaka mitatu, hawakwambii kwamba unadaiwa ada kiasi fulani ambacho bodi hawakukulipia, kisha wanasubiri unapokuja kuchukua cheti chako ndo wanakwambia madudu haya?

Ina maana hicho chuo kilikuwa hakina wahasibu? nakama wapo, walipokuwa wanafunga hesabu za mwaka katika ada,hawakugundua mapema kuwa kuna upungufu wa ada wawaambie kabla hamjaondoka/maliza chuo?
 
Itabidi wahitimu walioko mikoani waliokuwa wanasoma UDOM wajiridhishe kwanza kama ada yao ililipwa kabla ya kusafiri kwenda Dodoma kuchukua vyeti vyao.
 
katika vi2 ambavyo i can declare openly kabisa ni 'udom kuna tatizo la kiutawala' yule prof wa kiswahili ambaye ndo mkubwa wa utawala na fedha ni KIMEO. haiwezekan kabisa katka hali ya kawaida ukahamishia matatizo ya bodi ya mkopo kwa wanafunzi! huu ni ujinga? hii ni kama ugomvi wa baba na mama chumban unawarushia watoto ambao hawajui chochote ?
 
Back
Top Bottom