Alphonce Lusako
Member
- Aug 31, 2011
- 35
- 27
Salaam wakuuu,
kitendo cha serikali ya jamhuri ya muungano wa TANZANIA, kupitia waziri mwenye dhamana yani mheshimiwa KAWAMBWA, Kuwatelekeza idadi kubwa ya wadogozetu kwa kutowadhamini mikopo ili waweze kumudu kujiunga vyuoni tunakichukuliaje kama wazalendo wa nchi. cha kujiuliza ni kwamba
1.Ni kweli serikali yetu haina uwezo wa kuwadhamini wanafunzi wote?
2.Wanaopata asiilimia ndogo au kutolipiwa kabisa ni watoto wa matajiri au masikini?
3.je tukubali kuwa watumwa katika nchi yetu?
4.je tuendelee kuyaacha manung'uniko ya familia zilizo masikini, watoto masikini, yatima waendelee kutopata elimu eti sababu serikali inadai kuwa hawana uwezo kitu ambacho mimi na wewe hatukiamini kabisa?
5.Mi binafsi natambua kuwa niwakati wa vyuo vyote katika jamhuri ya muungano wa TANZANIA, kuisaidia jamii kuishinikiza serikali, wadogozetu wote wapewe mkopo ili waweze kuingia vyuo, Na hili linawezekana'
6.Wadogo zetu wengi ambao asilimia kubwa wametoka katika familia zilizo masikini hawatoweza kufika vyuoni, hatuwezi kuyaacha manung'uniko ya watanzania tulio masikini yaendelee.
7.Na napenda kudiriki kuthubutu kusema kwamba sikubaliani na siasa za waziri wa elimu Mh.Kawambwa alizozitoa jana TBC. TUMECHOKA NA DANADANA ZA SIASA za viongozi wetu.
Together we can, let us stand guys,,,,, YOUR SUGGESTION PLEASE?
kitendo cha serikali ya jamhuri ya muungano wa TANZANIA, kupitia waziri mwenye dhamana yani mheshimiwa KAWAMBWA, Kuwatelekeza idadi kubwa ya wadogozetu kwa kutowadhamini mikopo ili waweze kumudu kujiunga vyuoni tunakichukuliaje kama wazalendo wa nchi. cha kujiuliza ni kwamba
1.Ni kweli serikali yetu haina uwezo wa kuwadhamini wanafunzi wote?
2.Wanaopata asiilimia ndogo au kutolipiwa kabisa ni watoto wa matajiri au masikini?
3.je tukubali kuwa watumwa katika nchi yetu?
4.je tuendelee kuyaacha manung'uniko ya familia zilizo masikini, watoto masikini, yatima waendelee kutopata elimu eti sababu serikali inadai kuwa hawana uwezo kitu ambacho mimi na wewe hatukiamini kabisa?
5.Mi binafsi natambua kuwa niwakati wa vyuo vyote katika jamhuri ya muungano wa TANZANIA, kuisaidia jamii kuishinikiza serikali, wadogozetu wote wapewe mkopo ili waweze kuingia vyuo, Na hili linawezekana'
6.Wadogo zetu wengi ambao asilimia kubwa wametoka katika familia zilizo masikini hawatoweza kufika vyuoni, hatuwezi kuyaacha manung'uniko ya watanzania tulio masikini yaendelee.
7.Na napenda kudiriki kuthubutu kusema kwamba sikubaliani na siasa za waziri wa elimu Mh.Kawambwa alizozitoa jana TBC. TUMECHOKA NA DANADANA ZA SIASA za viongozi wetu.
Together we can, let us stand guys,,,,, YOUR SUGGESTION PLEASE?