Bodi ya mikopo imepata wapi mamlaka haya?

hawako serious hawa jamaa hakuna kitu kingine. wangekuwa serious wasingefanya ujinga kama huu.
 
Jamaa anachukia kuona all the time uko online. yeye kimodem chake kikiishiwa haonekani mwezi

teeteheteeteeteheteheeee mzee wa liver bwana kama kweli vile ni sawa na wale weekday wanapost hatari mida ya asubuhi mpaka jioni halafu kuanzia 12 haonekani na siku za weekend..
vipi yule afisa wa bodi imeishia wapi?..
 
Tatizo kubwa ni kukosekana utaratibu unaoeleweka kwa upande wa bodi. Inavyo onekana watendaji wakuu wanajiamulia tu kama vile wametoka usingizini. Na wanafikiri wahitimu wote wanaishi dar.Na wanafikiri wahitimu wote wanaangalia web-site yao. Mhitimu wa sumbawanga na anaishi huko atalipaje? Kwahiyo aje mpaka dar-msasani kulipa deni tu!!! these guys are not serious . Naamini haukuwa mkopo ilikuwa scholarship ndio maana hawakujiandaa ni kama wamekurupushwa tu. Mbona TRA wanatutambua. Pia tokea waanze kukusanya wamefikisha sh. ngapi? na zimetumika kwenye nini? Kitu kingine Hivi ni serikali gani haiwasomeshi watu wake hata mmoja wote eti tunakopeshwa.
 
Mbona kuna wanaokatwa mishahara toka 2009 lakini majina yao yametoka kwamba wanadaiwa na hawajalipa.
 
HESLB hawajui mdeni wake wanaparamia watu na ndio maana wanashindwa kukusanya madeni.

Mimi binafsi niliwaandikia kuwapa onyo wafute jina langu vinginevyo nitawapeleka mahakamani kwa kunidhalilisha. Kinachokera zaidi ukigoogle jina lako mojawapo ya matokeo ni linki ya bodi ya mikopo ya wakwepaji madeni!
 
teeteheteeteeteheteheeee mzee wa liver bwana kama kweli vile ni sawa na wale weekday wanapost hatari mida ya asubuhi mpaka jioni halafu kuanzia 12 haonekani na siku za weekend..
vipi yule afisa wa bodi imeishia wapi?..

Hao ujue wanakuwa wanatumia muda wa ofisini............wakitoka tu internet access kushney......Mie silipi hadi tule aliyepachika majina hewa alipe zote
 
malimwengu kauliza swali la msingi tu lakini tunavoruka...lol!!!

kuna hatari ya kuanza kuwa defensive bila hata kujua kama mkopo unakuhusu au lah!!

mkopo ulianza lini? na je udhamini wa serikali na mkopo vyote vinahitaji kulipwa?
 
Jamani nimedakwa sasa hivi na mtu wa Msolopa............auction mart.........nimempa maelezo nasubiria kupelekwa mahakamani. Ajira hawajanipa alafu wakuja kudai tu. Mie Sikuomba mkopo nilipsomeshwa na govt sababu nilipata div one......sikujaza chochote. Wanileteee karatasi niliyojaza kudadeki.
 
malimwengu kauliza swali la msingi tu lakini tunavoruka...lol!!!

kuna hatari ya kuanza kuwa defensive bila hata kujua kama mkopo unakuhusu au lah!!

mkopo ulianza lini? na je udhamini wa serikali na mkopo vyote vinahitaji kulipwa?


Nadhani tunaoandika humu ni baadhi ya wadaiwa according to Board ya Mikopo. Kama nilivyosema hapo nyuma, wakati tunamaliza hiyo miaka ya 90, bodi haikuwepo na hatukuwa tunakopeshwa bali tulikuwa sponsored na serikali. Kilichokuwepo pale ni cost sharing!!

By the way, hivi wale wenzetu waliokwenda kusoma Rusia, India n.k. kwa gharama za serikali nao wapo kwenye hiyo list ya wadaiwa?? Maana kuna watoto wa vigogo wengi kwenye hiyo list............. including Nape!!
 
Jamani nimedakwa sasa hivi na mtu wa Msolopa............auction mart.........nimempa maelezo nasubiria kupelekwa mahakamani. Ajira hawajanipa alafu wakuja kudai tu. Mie Sikuomba mkopo nilipsomeshwa na govt sababu nilipata div one......sikujaza chochote. Wanileteee karatasi niliyojaza kudadeki.
sasa kama hukujaza hiyo karatasi imetoka wapi?
 
Ndugu wana JF.
Mimi ni mhitimu wa UDSM mwaka 2006, na kwa bahati nzuri nimeajiriwa katika chuo kikuu kimojawapo cha serikali hapa nchini. Kuanzia mwaka 2008 tulianza kukatwa madeni ya HESLB na mpaka sasa ninavyozungumza nimebakiza kama 500,000 tuu nimalize deni langu. Hivi majuzi rafiki yangu mmoja aliniambia kuwa ameshangaa kukuta kwenye website ya loan board kukuta jina lake kama mdaiwa sugu ambaye hajaanza kulipa wakati amebakiza hela kidogoo sana kumalizia deni lake (kama laki 3 hivi), na anakatwa kila mwezi kwenye mshahara wake.

Leo na mimi nikajawa na curiosity kutaka kujua kama na jina langu limo, na kweli nikalikuta nimo kwenye list ya wadaiwa sugu wa HESLB. Je, hii naashiria nini jamani? Nahisi harufu ya ufisadi!!!! Au ni uzembe wa loanboard kutokuupdate information zake kwenye website? Au mwajiri wangu ananikata hela lakini hapeleki loanboard? Sielewi bandugu. Ngoja niendelee kutunza salary slip zangu.

Dah ndugu yangu nami nimeona jina langu kuwa sijaanza kulipa wakati kila mwezi nakatwa zaidi ya laki moja. Hawa watu hawapo serious. Hapa kuna harufu ya ufisadi
 
Mimi wananidai na wala sijaanza kulipa, nimetafuta jina langu silioni!.
 
Nadhani tunaoandika humu ni baadhi ya wadaiwa according to Board ya Mikopo. Kama nilivyosema hapo nyuma, wakati tunamaliza hiyo miaka ya 90, bodi haikuwepo na hatukuwa tunakopeshwa bali tulikuwa sponsored na serikali. Kilichokuwepo pale ni cost sharing!!

By the way, hivi wale wenzetu waliokwenda kusoma Rusia, India n.k. kwa gharama za serikali nao wapo kwenye hiyo list ya wadaiwa?? Maana kuna watoto wa vigogo wengi kwenye hiyo list............. including Nape!!
Ndicho hasa na mi nataka kufahamu hiyo mikopo ilianzia wapi na udhamini uliishia wapi?

Nadhani kuna watu humu hata hawajielewi wanaangukia wapi, udhamini au mkopo, na wanadaiwa au hasha

Bwana Ziro sasa maswali yangu yakijibiwa basi nadhani tutajua na hao waliosoma nje wataangukia wapi!
Yaani hii Bodi yenyewe napata hisia ni kwamba haijielewi na yenyewe!
 
Kawa hawapo vizuri kwenye mambo ya records waombe msaada hapa JF
 
Hawa jamaa wa Bodi ya Mikopo hawako serious... Mimi nimekuta jina langu.. la mdogo wangu la Baba yangu. Sasa sijui huyo mzee nae wanamdai kwa kusoma lini. Ofisini kwetu wameshafika zaidi ya mara tatu, na kila wakija wanauliza maswali yaleyale, lakini pesa hawakati.
Lakini swala la kujiuliza, kodi ya zaidi ya laki laki kwa mwezi, kwa miaka 5 bado tu sijalipa hilo deni? kaazi kwelikweli.
 
Lakini inshu hii kuna thread mbona tulishazidili sana! Anyway, ngoja nirudie tena! wahanga wa hili genge la wahuni wa Bodi ya Mikopo tuko wengi, mi nimeanza kulipa hilo deni miaka 4 iliyopita! lakini cha ajabu wametoa jina langu, yaani hasira zimenijaa hadi basi. Ningekuwa karibu nao ningekuwa nilishaibuka mlangoni kwao.
 
Mie itakuwa ngumu kulipa..........kila mwezi nakatwa kodi ya Tsh 105,000/= inalipwa na serikali inachukua fedha hii...manaidai tena nini?

Maana yake ni kuwa WALIKUWA WANAKUKOPESHA PESA ZAKO ULIZOWAWEKESHA KUPITIEA PAYEE. kwa sababu hiyo, hakuna anayemdai mwingine. Ila wewe unaendelea kuwapa zingine ili na mtoto wako atakapopewa, wasitegemee kulipwa.

Quality
 
Back
Top Bottom