MANGUNGO JF-Expert Member Aug 30, 2011 1,536 352 Mar 17, 2012 #1 Wakuu!bodi ya mikopo imewanyima ela ya field wanafunzi 250 wa chuo cha RUCO na kuwapa wachache.hii dalili ya nini?
Wakuu!bodi ya mikopo imewanyima ela ya field wanafunzi 250 wa chuo cha RUCO na kuwapa wachache.hii dalili ya nini?
kookolikoo JF-Expert Member Mar 9, 2012 2,750 594 Mar 17, 2012 #2 MANGUNGO said: Wakuu!bodi ya mikopo imewanyima ela ya field wanafunzi 250 wa chuo cha RUCO na kuwapa wachache.hii dalili ya nini? Click to expand... hujatoa facts za kutosha. wachache ni wangapi? kozi zao zinafanana?
MANGUNGO said: Wakuu!bodi ya mikopo imewanyima ela ya field wanafunzi 250 wa chuo cha RUCO na kuwapa wachache.hii dalili ya nini? Click to expand... hujatoa facts za kutosha. wachache ni wangapi? kozi zao zinafanana?
mtayeshelwa JF-Expert Member Oct 28, 2011 1,170 390 Mar 17, 2012 #3 Mkuu hoja yako umeicha ikihang hewani,Inabidi ukileta hoja hum uwe na evidence za kutosha ili kuwawezeshesha wana jf waweze kuchangia
Mkuu hoja yako umeicha ikihang hewani,Inabidi ukileta hoja hum uwe na evidence za kutosha ili kuwawezeshesha wana jf waweze kuchangia
MANGUNGO JF-Expert Member Aug 30, 2011 1,536 352 Mar 19, 2012 Thread starter #5 WaliNazi said: ..waliomba mkopo? Click to expand... Waliomba na wanadhaminiwa na bodi ya mkopo.