Bodi vipi jamani?

TEBOGO

Member
Aug 5, 2012
7
0
Jamani bodi ndo imeamua kutuchunia sisi tuliokosa loan mana kulikuwa na tetesi kuwa ifikapo tar 1 mwez wa kumi wangetoa nafasi kwa wale waliokosa loan kwa priority facult kuomba tena lakin bado ni kimya.pia ni lin watatoa Batch nyingine ya loan naomba mnifafanulie wana JF mana chuo ndo nisharipoti na nishaanza masomo na any time watataka tuition fees
 
Jamani bodi ndo imeamua kutuchunia sisi tuliokosa loan mana kulikuwa na tetesi kuwa ifikapo tar 1 mwez wa kumi wangetoa nafasi kwa wale waliokosa loan kwa priority facult kuomba tena lakin bado ni kimya.pia ni lin watatoa Batch nyingine ya loan naomba mnifafanulie wana JF mana chuo ndo nisharipoti na nishaanza masomo na any time watataka tuition fees

Mkuu we acha tu yaani hawa jamaa hawaeleweki kabisa.
 
Jamani bodi ndo imeamua kutuchunia sisi tuliokosa loan mana kulikuwa na tetesi kuwa ifikapo tar 1 mwez wa kumi wangetoa nafasi kwa wale waliokosa loan kwa priority facult kuomba tena lakin bado ni kimya.pia ni lin watatoa Batch nyingine ya loan naomba mnifafanulie wana JF mana chuo ndo nisharipoti na nishaanza masomo na any time watataka tuition fees

ina maana umesajiliwa bila kulipa ada man?
 
Back
Top Bottom