Jamani bodi ndo imeamua kutuchunia sisi tuliokosa loan mana kulikuwa na tetesi kuwa ifikapo tar 1 mwez wa kumi wangetoa nafasi kwa wale waliokosa loan kwa priority facult kuomba tena lakin bado ni kimya.pia ni lin watatoa Batch nyingine ya loan naomba mnifafanulie wana JF mana chuo ndo nisharipoti na nishaanza masomo na any time watataka tuition fees