mimi pia nashangaa,wakat nchi za ulaya na marekan,waendesha pikipiki sheria pia zinawausu,ila africa bodaboda awafat mataa wao uchungulia tu na kuondoka,hii si sawa kabisa ajali za bodaboda ni mbaya sana
Ni sheria nyingi hazifuatwi humu nchini ila hiyo ya Bodaboda wanaivunjia barabarani. Huko mitaani sheria nyingi sana zinavunjwa mpaka inakuwa ni kama kawaida. Hiyo ndiyo Tz bana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.