huwa wanaitwa wazoefu wachache kwenye timu ni sawa na bojan alivyocheza U21 kwa spain wakati yeye ana miaka 23..Jamani, JamaniGazeti la Mwananchi la leo July 22, 2011 limeripoti kuitwa kwa Gaudance Mwaikimba na Haruna Moshi "Boban" kwenye timu ya U - 23.Hivi kweli hii mijamaa mi under 23???
domo chafuulitaka aitwe mumeo ndo ufurahi au