Kwani tatizo hapo lipo wapi?
wewe utakuwa yanga wewe, hicho ni kizunguzungu cha bao 5 tu, na bado mkiendelea na majungu tukikutana next tm tunawatundika 10 kabisa, subirini muone..Mbona hata mie hupendelea kuvaa sandals zozote zitazokuepo around ili kuepa longolongo za kuvua na kuvaa viatu. Ni mapenzi tu ya mtu.
BTW, there is only one Boban, Zvonimir Boban, left-footed na kiungo mpishi mahiri kabisa wa zamani wa Dinamo Zagreb, Milan 1899 na timu ya taifa Croatia, hao wengine wa kwenu ni wakuchonga tu si lolote si chochote...they don't worth the comparison.
Simba bwana wanafurahisha sana,
Hivi punde tu wakichangia mada ya Yanga kubadili jezi walikuwa wanalalamikia waliyoiita logo ya Yanga "kandambili" kuwa haifai ksbb inajulikana ni usafiri wa kuingilia MALIWATO,haya hapa Star wao katinga Airport na usafiri huohuo wa MALIWATO wanauliza tatizo nini...wacha na mimi niulize tatizo la Cartoon ya utani ya Yanga kuwa kandambili liko wapi?
Boban wa pili kushoto.
Kiungo mshambuliaji wa timu ya Simba, Haruna Moshi Boban jana alikuwa kivutio kwa mashabiki, wasindikizaji na hata baadhi ya wasafiri waliomuona wakati wakiondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, kuelekea Sudan. Uvaaji wa Boban, ndio uliowavutia watu kumtizama, kutokana na kuvaa kama mtu asiyesafiri.
Boban alikuwa amevaa fulana, suruali ya kimichezo trakisuti na kandambili, hivyo kusababisha watu kuvutika kumuangalia, huku baadhi yao wakibaki kujiuliza kuhusu vituko vya nyota huyo ambaye mashabiki humuita Balotteli wa Bongo.
Mi sioni Ubaya Boban kuvaa kandambili ili mradi ni kiungo mahiri, hata PEKU ningeona sawa tu
Huoni? kwani pale ni chooni?
hiyo mibange mnayovuta ni stimu ya kulanduka kama siyo fani yako kwa kweli utaumbukaaa.
Hawa wengine wenye VITAMBI nao ni wana ndinga?
Tuna mazoea mabaya sana mkuu, usishangae mawaziri wapya nao watakwiba ngawira kwa kuwa waliotangulia walikwiba. Kwani kandambili zinazuia ndege isiruke? au mlitaka atinge buti la kamanda Nkunda.
Mimi nimeipenda stail ya haruna. Tusiwe watumwa wa akili.
Ablood,
Hao wenye vitambi ni baadhi tu ya kundi linalotanua hapa Mjini kwa jasho la kina Okwi,huyo wa kushoto kabisa ndo anaitwa Godfrey Nyange Kaburu...by the way wana Simba embu tujuzane,huyu Jamaa hana shughuli nyingine za kufanya kuendeshea maisha yake? ni Simba tu?,mana'ke ingekuwa team nzima inaingia chooni kama mtu mmoja huyu Jamaa angekuwa anaingia nayo