Bob Marley aliamini Mungu kweli?

Understanding ya Bob Marley kuhusu Mungu na spirituality in general ni challenging.
Alikua akiamini kua "Christ" ni hali ya mtu na wala sio mtu specific. E.g: Wakristu wengi wanaamini Yesu ni Kristo. Yeye anaamini Yesu ni mtu ila alifikia hali ya ukristo kwa Divine transcendence. Mtu wa kawaida pia anaweza fikia hali hio kwa kupitia mafunzo ya Yesu na wengine walio weza kufikia hali hio. Salassie wa Ethiopia ni moja wapo katika watu walio weza kufikia hali hio na kwa hiyo pia ni Kristo na Divine part of him ni Mungu tayari kajitokeza kwa "gamba" la binadam.
God is in Us, we all have the Divine part in us. Ni vigumu kutambua hio Divine part sababu ya mambo ya dinua ila uki concentrate unaweza kugusia hali hio. Kama utashindwa ku-concentrate unaweza kuvuta majani (Bang, msuba) na ikakusaidia kupoteza connexion na vitu vya duniani ukawa in sync na Divine part inside of you.
Kwa kweli sijui kama nimeeleweka maana maneno mengi nimeshindwa kuyasema kwa kiswahili ila kwa kifupi hiyo ndio msingi ya imani ya Bor Marley.

This explanation, in the context of Bob's lyrics and some denominations of Rasta, makes a lot of sense.

Ndiyo maana ame reject maneno ya mhubiri kwamba "great god will come from the sky" (ujio wa pili wa Yesu) kama uongo tu. Basically anasema hata wewe unaweza kuwa Yesu hapa hapa duniani katika line ya "If you kow what life is worth, you will look for yours on earth". You have a riight to live a full life, and not to be subservient to some unseen god in the sky "and now you see the light, stand up for your right".

Watu wengi wanauchukulia wimbo huu kuwa unaishia kuongelea kuhusu political oppression, wich is the easier message to grasp - the oppression of colonialism, neo-colonialism, North/South imbalance etc- lakini wimbo unagusa self emancipation kutoka minyororo iliyo deeper kliko hiyo political oppression, minyororo kama dini na imani ya mungu aliye mbinguni, minyororo ambayo inatumiwa na hao hao wanao oppres watu politically.
 
......

Ukizidi kuchunguza sana haya maswali, kwa nia ya kutafuta ukweli kabisa bila bias ya historia ya kuwa influenced na dini na culture, utagundua kwamba mungu anayeweza yote kujua yote na aliye na upendo usio ikomo hayupo.


Kiranga ndio maana nakuambia tatizo wewe unampangia scope na wajibu huyo mungu. Yaaani wewe uwepo wa mungu ni mpaka mambo fulani kwa akili zako au zangu za ibinadamu yangekuwepo ndio ungeamini au kuthibitisha. ?


Na kama kuzidi kuchugnuza hayao maswali kama wewe yanakufanya ugundue kuwa mungu hayupo wengine tunaweza kusema na kitendao cha kufa nayo ni hatua ya mwisho ya mungu kuonyesha upendo kwa binadam au.

Na bado hata hayo matatizo yasingekuwepo bado wataalam wangekuja na kwa nini tufe kama mungu yupo na ana upendo? So upendo kwa definition ya kibinadamu inawezeena sio upendo kwa definition ya kumngu.

While "kibinadamu" kujaliwa utajiri wa mali inaweza kutafsiriwa ni baraka za mungu. mungu kwake "utajri wa roho" ni baraka kubwa anayomjalia bindamu kuliko utajiri wa mali. So kwanza kubali sisi binadamu tuna limitation ya kumuelewa mungu. na hatuwezi kumuelezea mungu wa viwango na standard zetu.

Sisi binadamu vipaumbele vyetu ni tofauti ndio maana tunajikuta tunauliza na kuhoji uhalali wa mungu.

Elewa hilo kwanza.
 
Kiranga ndio maana nakuambia tatizo wewe unampangia scope na wajibu huyo mungu. Yaaani wewe uwepo wa mungu ni mpaka mambo fulani kwa akili zako au zangu za ibinadamu yangekuwepo ndio ungeamini au kuthibitisha. ?

Kama kitu hakiyumkiniki kwa akili za kibinadamu, na huna jinsi ya kuthibitisha au hata kuanza kuthibitisha, huna sababu ya kukiamini.

Ukiamini mungu yupo, wakati huna uwezo wa kuthibitisha, mie nikikwambia huko milima ya Himalaya kuna watu wana miguu mitatu ambao ukiwaangalia tu wanayayuka huwezi kunibishia. Vyote viwili havithibitishiki. Na huna haki ya kukubali kimoja na kukataa kingine.

Na kama kuzidi kuchugnuza hayao maswali kama wewe yanakufanya ugundue kuwa mungu hayupo wengine tunaweza kusema na kitendao cha kufa nayo ni hatua ya mwisho ya mungu kuonyesha upendo kwa binadam au.

Kifo ni ushahidi kwamba kila kitu kiko subject to the second law of thermodynamics na entropy, nothing to do with god.

Kama kungekuwa na kiumbe ambacho hakifi, halafu ukaniambia mungu yupo kaumba kiumbe ambacho hakifi, hapo ungekuwa na argument. Maji kushuka kutoka mlimani (mwili kukongoroka na kufa) ni kawaida ya entropy, ningetegemea mungu aonyeshe kitu kilicho more interesting kama maji kupanda mlima bila msaada wowote (mwili uongezeka afya miaka inavyozidi bila kufa) hapo ungeweza kuniambia "hii kazi ya mungu ina defy second law of thermodynamics" kidooogo ungeuwa na argument.

Na bado hata hayo matatizo yasingekuwepo bado wataalam wangekuja na kwa nini tufe kama mungu yupo na ana upendo? So upendo kwa definition ya kibinadamu inawezeena sio upendo kwa definition ya kumngu.

Hapa umefanya assumption based on a leap of faith, what did I expect, you believe in od, you can believe anything and assert to know. Hata hatujaishi katika ulimwengu ulio perfect na wewe tayari una assert kujua views zangu. Ulimwengu ulio perfect by definition hauna maswali, kwa sababu maswali yanatokana na imperfection..

Kwa ninitufe kama mungu ana uwezo wa kutufanya tuishi bila kufa na upendo wa kutujali pia? Hili ni swali relevant kabisa.

While "kibinadamu" kujaliwa utajiri wa mali inaweza kutafsiriwa ni baraka za mungu. mungu kwake "utajri wa roho" ni baraka kubwa anayomjalia bindamu kuliko utajiri wa mali. So kwanza kubali sisi binadamu tuna limitation ya kumuelewa mungu. na hatuwezi kumuelezea mungu wa viwango na standard zetu.

Kama binadamu tuna limitation ya kumuelewa mungu, hatuwezi kumuelewa, umeelewaje kwamba hatuwezi kumuelewa?

Ushasema tuna limitation ya kumuelewa mungu, utajuaje kwamba hatuwezi kumuelezea mungu kwa viwango na standards zetu.

Sisi binadamu vipaumbele vyetu ni tofauti ndio maana tunajikuta tunauliza na kuhoji uhalali wa mungu.

Vipaumbele vyetu ni tofauti na vya nani? mungu? Kama mungu, ushasema mungu huwezi kumuelewa, umejuaje kwamba vipaumbele vya binadamu tofauti na vya mungu?

Elewa hilo kwanza.

Wewe mwenyewe, ambaye umeanza kwa kusema mungu haeleweki kimsingi, na hapo hapo uka ji contradict kwa kutupa uelewa wako wa mungu kwamba ana scope tofauti, unaonekana huelewi unachokisema, na definitely huwezi kunielewesha mie.
 
.....
Wewe mwenyewe, ambaye umeanza kwa kusema mungu haeleweki kimsingi, na hapo hapo uka ji contradict kwa kutupa uelewa wako wa mungu kwamba ana scope tofauti, unaonekana huelewi unachokisema, na definitely huwezi kunielewesha mie.


Kiranga mimi nakiri kama binadamu nina udhaifu kiasi kuweza kuemuelewa mungu. Kukiri udahifu wa kuweza umuelewa mungu vizuri sio kwamba siamini mungu yupo. na ni binadamu wote na wewe ukiwemo.

Maswali unayojuliza ni ya sabau ya akili nyingi za kibinadamu tulizajaliwa na mungu tofauti na simba njiwa na sokwe may be. B ut kutojua majibuu yake au majibu yake kutokurdhisha wewe haimaanishi kutokuwepo.


So mimi kusema mungu haeleweki ni sababu nami ni binadamu kama ulivyo wewe nalitambua hilo na wewe elewa ni binadamu huwezi kumuwekea mungu kwa viwago vyako na unavyopanga wewe .

Kutokumulewa kwangu mungu vizuri sio kwa sabbau haeleweki ni sabbu yeye ni mungu na mimi na wewe ni binadamu. tuna udhaifu.......

upo hapo?
 
Kama kitu hakiyumkiniki kwa akili za kibinadamu, na huna jinsi ya kuthibitisha au hata kuanza kuthibitisha, huna sababu ya kukiamini.

Ngoja nikuulize

Nipe jibu unaloamini wewe la hesabu hii 2+ 2
na nithibitishie kwa nini niamini hilo ni jibu?

.......Kama kungekuwa na kiumbe ambacho hakifi, halafu ukaniambia mungu yupo kaumba kiumbe ambacho hakifi, hapo ungekuwa na argument. Maji kushuka kutoka mlimani (mwili kukongoroka na kufa) ni kawaida ya entropy, ningetegemea mungu aonyeshe kitu kilicho more interesting kama maji kupanda mlima bila msaada wowote (mwili uongezeka afya miaka inavyozidi bila kufa) hapo ungeweza kuniambia "hii kazi ya mungu ina defy second law of thermodynamics" kidooogo ungeuwa na argument

Una uhakika gani kila kiumbe kina kufa ? Defition tulizonazo za lliving things ni kwa mujibu wa uelewa wetu binadamu . Ukisema kiumbe living things jua sisi binadamu tume classfy viumbe kutokana na uelewa wetu.

Lakini hata jiwe ni kiumbe cha mungu

Maji yanashuka kutoka mlimani kuja chini sababu muumbaji ndio alweka mazingira hayo. bidamu kwa akili na ubongo aliojaliwa na mungu akatolea maelezo ya hizo law kwa nini maji yashuke . kama mungu angeumba maji yapende mlima vile vile binadamu anagepata maelezo ya kutoa............

Sio kwamba ulitungwa law fulani na binadamu alafu matukio ndio yakaanza akuifuata ile law . Tunachofanya sisi ni kuelezea na kufafanua lawa amabazo zipo na zimekuewepo.

Vipaumbele vyetu ni tofauti na vya nani? mungu? Kama mungu, ushasema mungu huwezi kumuelewa, umejuaje kwamba vipaumbele vya binadamu tofauti na vya mungu?

Kiranga mambo ya mingu ni ya KIROHO sisi binadamu interest zetu ziko ki MALI, MWili au maumbile zaidi. Ndio maana wewe unaongelea ngelea mambo ya Law sijui physics, chemistry , geography but mungu .

Nimekwambia mwazo kusema mungu haeleweki sio kwamba simuelewi kabisa bali najitambua kama binadamu ni dhaifu na kumuelewa mungu unahitaji imani. Huwezi kudefine Mungu uwepo kwa features na charatsritics na vigezo vya kibindamu.
 
Ngoja nikuulize

Nipe jibu unaloamini wewe la hesabu hii 2+ 2
na nithibitishie kwa nini niamini hilo ni jibu?

Sina jibu ninaloamini katika hesabu hiyo. Kasome number theory, kama una refutation publish ututoe kidedea na Nobel.

Una uhakika gani kila kiumbe kina kufa ?
Hakika ni domain ya waumini wa mungu, si yangu. Wewe una hakika kuna kiumbe kisichokufa?

Defition tulizonazo za lliving things ni kwa mujibu wa uelewa wetu binadamu . Ukisema kiumbe living things jua sisi binadamu tume classfy viumbe kutokana na uelewa wetu.

Na kwa uelewa huo huo huwezi kuthibitisha kwamba mungu yupo. Don't try to move the goalpost. Wewe ulitaka binadamu aelewe kwa akili za nani? Mbweha?

Lakini hata jiwe ni kiumbe cha mungu

Jiwe halina sifa za kiumbe hai kwa mujibu wa elementary biology.

Maji yanashuka kutoka mlimani kuja chini sababu muumbaji ndio alweka mazingira hayo.

Hili unajua au unaamini? Mimi nikikwambia ni movement from high energy requiring position to low energy requiring entropy pamoja na effects za gravity utasemaje?

bidamu kwa akili na ubongo aliojaliwa na mungu

Unajuaje kama binadamu kapewa ubongo na mungu? Kama mungu kampa ubongo huu binadamu, na binadamu anafanya mambo ya kijinga kabisa, huyu mungu ana akili?

akatolea maelezo ya hizo law kwa nini maji yashuke

Unawezaje kunithibitishia kwamba mungu kaumba?

kama mungu angeumba maji yapende mlima vile vile binadamu anagepata maelezo ya kutoa............

Huwezi kusema "kama mungu angeumba maji yapande mlima" wakati hujathibitisha hata kama mungu ameumba maji yashuke mlima.

Sio kwamba ulitungwa law fulani na binadamu alafu matukio ndio yakaanza akuifuata ile law . Tunachofanya sisi ni kuelezea na kufafanua lawa amabazo zipo na zimekuewepo.

Unajuaje kwamba law zinamuhitaji mungu ili ziwepo?
 
Kiranga mimi nakiri kama binadamu nina udhaifu kiasi kuweza kuemuelewa mungu. Kukiri udahifu wa kuweza umuelewa mungu vizuri sio kwamba siamini mungu yupo. na ni binadamu wote na wewe ukiwemo.

Wewe unaamini kwamba mungu yupo au unajua kwamba mungu yupo? Unajua tofauti ya hivi viwili?

Maswali unayojuliza ni ya sabau ya akili nyingi za kibinadamu tulizajaliwa na mungu tofauti na simba njiwa na sokwe may be.

Unajuaje kwamba tumejaliwa na mungu akili zetu za kibinadamu?

B ut kutojua majibuu yake au majibu yake kutokurdhisha wewe haimaanishi kutokuwepo.

Certainly, lakini hakusaidii lolote katika kuonyesha kwamba mungu yupo.

Ukiniuliza, wale watu niliosema wana miguu mitatu, wanaokaa katika milima ya Himalaya, ambao ukiwaangalia tu wanayeyuka, wanayayukaje, nikashindwa kukujibu, hilo halimaanishi kwamba hawapo, lakini pia halinisaidii mimim katika ku build a case kwamba wapo.

So mimi kusema mungu haeleweki ni sababu nami ni binadamu kama ulivyo wewe nalitambua hilo na wewe elewa ni binadamu huwezi kumuwekea mungu kwa viwago vyako na unavyopanga wewe .

Huwezi kumuongelea mungu ambaye hata huwezi kumthibitisha. Mthibitishe kwanza kama yupo, then muongelee. Unawezaje kuthibitisha kwamba mungu yupo?

Kutokumulewa kwangu mungu vizuri sio kwa sabbau haeleweki ni sabbu yeye ni mungu na mimi na wewe ni binadamu. tuna udhaifu.......

Kama tuna udhaifu mkubwa kiasi hicho umejuaje kwamba binadamu na mungu wana tofauti. Kwanza anza kwa kuonyesha kwamba mungu yupo.

upo hapo?

Siwezi kuwepo mpaka unithibitishie kwamba mungu yupo, unaweza kunithibitishia?

Kama unaweza, huyo mungu anayeweza kuthibitishika si mungu, kashakuwa reducible to a proof kama hesabu tu.

Kama huwezi, unawezaje kuamini katika mungu asiyethibitishika.

Mungu hawezi kuwepo, kwa sababu, the very idea of god is self contradicting.
 
Some say the song is political, others thinks is religious. For those who say is more political, they say you have to understand when and in what context they wrote that song. Great artists don't just jump and pen down lyrics. In Jamaica's history there was a long standing struggle between the citizens and the government. Basically, two political groups existed and some citizens like Bob Marley "stood up to stand for the rights" of the citizens.

In Tahrir Square, the people were blasting Bob Marley's revolutionary lyrics while chanting down Babylon. They sang "We're going to chase those crazy baldheads out of town, Get up, stand up, stand up for your rights, Burnin' and lootin' – almost every one of his songs yielded a line of sheer rebellion and his music was all-pervasive in the revolution.

As for those who think the song is more religious, well it starts with the lyric "Preacher man, don't tell me" which confuses many. Then, there is the line "we're sick and tired of your ism-schism game, dying to go to heaven in Jesus' name". Was Bob Marley a religious person? If the answer is yes how could he then preach "One Love" as a theme throughout all of his, truly inspired, songs? Can he actually be bringing down the very God of one love? Is it not more likely that Bob was, just as he said sick and tired of those "Christians" who find salvation in Jesus, but do no more than sit upon church pews week after week and go no further? Or was he sick of the whole "Babylon system" of hierarchical religion?

So long as we continue to label others as Muslim, Christian, Rastafarian, we abide not in the truth, in the fullness of the Spirit of love. "All have sinned and fall short of God." We are all equal, equal in the sight of God, equal in our fallen nature. That's probably why his followers such as Lucky Dube have written: "When we read in the bible about the creation of the earth, it tells us that man was created in the image of God. But it does not tell us if God was white, black, coloured, Indian or whatever. When I see a black man...i see the image of God, when I see a white man...i see the image of God, I see an Indian...I see the image of God, colours and everybody, we are the images God. God is one. And that is why, we are his children…"

Regarding the lyric "Almighty God is a living man", it's possible that Bob was simply re-phrasing, paraphrasing Jesus' own words when He said, "You know not what manner of Spirit you are from." Keep listening to the songs for Bob wrote from the heart and his heart was ever-seeking God. Bob said himself, "if you listen carefully you will hear," or as Jesus himself said "whosoever hears these sayings of mine and acts on them, I will liken him to a wise man, which built his house upon a rock."

But I think the real message is not in the line "Almighty God is a living man" but in the line "Get Up and Stand Up for Your Rights" which mean do not to accept bullying in any shape or form including political, religious or whatever.
 
Some say the song is political, others thinks is religious. For those who say is more political, they say you have to understand when and in what context they wrote that song. Great artists don't just jump and pen down lyrics. In Jamaica's history there was a long standing struggle between the citizens and the government. Basically, two political groups existed and some citizens like Bob Marley "stood up to stand for the rights" of the citizens.

Actually I tend to think that religion and politics is the same thing, two different faces of the same coin. The evolution of religion rose in parallel with political organizations. Up to now kings use the idea of divine mandate as used by ancient Egyptian Pharaohs and Chinese Emperors. We saw how George Bush used religion to rally the far right for political ends. Mkapa never used to go to church, I said here before that his church was at Palm Beach Hotel, and his communion was Johnnie Walker, but when he became president he was attending St. Immaculate, only to drop out after his two terms.The list of examples is endless.

In Tahrir Square, the people were blasting Bob Marley's revolutionary lyrics while chanting down Babylon. They sang "We're going to chase those crazy baldheads out of town, Get up, stand up, stand up for your rights, Burnin' and lootin' – almost every one of his songs yielded a line of sheer rebellion and his music was all-pervasive in the revolution.

Even in a relatively religious society, the unholy alliance of religion and politics is crumbling. Islam's schizophrenic of "submitting" to allah is no longer working, people are realizing you have to look for yours.

As for those who think the song is more religious, well it starts with the lyric "Preacher man, don't tell me" which confuses many. Then, there is the line "we're sick and tired of your ism-schism game, dying to go to heaven in Jesus' name". Was Bob Marley a religious person? If the answer is yes how could he then preach "One Love" as a theme throughout all of his, truly inspired, songs? Can he actually be bringing down the very God of one love? Is it not more likely that Bob was, just as he said sick and tired of those "Christians" who find salvation in Jesus, but do no more than sit upon church pews week after week and go no further? Or was he sick of the whole "Babylon system" of hierarchical religion?

I don't think god has a monopoly on love. There are some atheist animal rights activists who exhibit a more loving nature than god on some issues. Bertrand Russell, in his criticism on why did Jesus, supposedly god incarnate with all mystic powers, decide to send all those pigs into the river unnecessarily, comes to mind (read his essay "Why I am Not a Christian" if you haven't)

Bob to me, was clearly dismissing the hierarchical religious movement and embracing a more unorthodox experience of "god"/ "Jah" as a way of folowing ones own spirit rather than listening to the preacher man.

So long as we continue to label others as Muslim, Christian, Rastafarian, we abide not in the truth, in the fullness of the Spirit of love. "All have sinned and fall short of God." We are all equal, equal in the sight of God, equal in our fallen nature. That's probably why his followers such as Lucky Dube have written: "When we read in the bible about the creation of the earth, it tells us that man was created in the image of God. But it does not tell us if God was white, black, coloured, Indian or whatever. When I see a black man...i see the image of God, when I see a white man...i see the image of God, I see an Indian...I see the image of God, colours and everybody, we are the images God. God is one. And that is why, we are his children…"

Is it possible to do good without believing in god?

Regarding the lyric "Almighty God is a living man", keep listening to the songs for Bob wrote from the heart and his heart was ever-seeking God.
Bob said himself, "if you listen carefully you will hear," or as Jesus himself said "whosoever hears these sayings of mine and acts on them, I will liken him to a wise man, which built his house upon a rock." Listen then with your heart and the truth will continually speak to you, call to you.
But I think the real message is in the lyrics "Get Up and Stand Up for Your Rights" which mean do not to accept bullying in any shape or form including political, religious or whatever.

You haven't answered what does "Almighty god is a living man" anamanisha nini? Anamaanisha mungu ni kamba iliyotungwa na binadamu? Anamaanisha mungu ni Selassie? Anamaanisha kila mtu ana uwezo wa kuji elevate akawa mungu in his/ her own right kama wanavyoamini Budhist?
 
Wewe unaamini kwamba mungu yupo au unajua kwamba mungu yupo? Unajua tofauti ya hivi viwili?
Naaamini Mungu yupo . imani na kujua ni vitu vimefungamana na soetme ni kazi kuvitenganisha. Labda nifafanuliwe wewe unajua au unaamini nini kuhusu haya maneno mawili

Unajuaje kwamba tumejaliwa na mungu akili zetu za kibinadamu?

Sababu maandiko nayoamini yananena hivyo hivyo. na zaidi ya maandiko observation ya hivyo viumbe hai inaonyesha akili za kibinadamu ni tofauti na viumbe hai wengine. kifupi binadamu tuna authorty ya kuwadhibiti na kuwactrol viumbe wengine . Ni akili ndio zinatuwezesha kufanya hayo.
Certainly, lakini hakusaidii lolote katika kuonyesha kwamba mungu yupo.
Wewe wasema . N a mimi nasema ceetainly kwa wewe Mumngu kutokurodhisha matakwa na vigezo na qualitya zake unaztaka wewe sio kwamba hayupo

Ukiniuliza, wale watu niliosema wana miguu mitatu, wanaokaa katika milima ya Himalaya, ambao ukiwaangalia tu wanayeyuka, wanayayukaje, nikashindwa kukujibu, hilo halimaanishi kwamba hawapo, lakini pia halinisaidii mimim katika ku build a case kwamba wapo.

Ndio unarudi kule kule kuwa sisi kama binadamu tuna udhaifu ,hatujakamilika. Huwezi kuelewa uwepo kutkuwepo kwa mungu kwa vigezo vya kibinadamu.

Huwezi kumuongelea mungu ambaye hata huwezi kumthibitisha. Mthibitishe kwanza kama yupo, then muongelee. Unawezaje kuthibitisha kwamba mungu yupo?
Nimekuuliza kule juu swali la 2+ 2 hujanijibu . Umekwepa na umekimbilia kuniambia nikasme number theorems. So nami kwa kutumia style yako ya kukwepa nakuambia kukuthibithisia mungu yupo kasome biblia.

Otherwise kupeleka mjdala mbele nithibitishie kuwa ni kweli 2+2= 4 teh teh teh

Kama tuna udhaifu mkubwa kiasi hicho umejuaje kwamba binadamu na mungu wana tofauti. Kwanza anza kwa kuonyesha kwamba mungu yupo.
Nimetumia akili nilizojaliwa na wakati natakuonyesha kwamba mungu yupo na wewe ebu nionyesshe 2+2= 4 au nionyeshe jibu lolote. usikwepe.

mambo ya mungu yanaenda na imani . Sasa nimabie ni kitu gani wewe unachoamini ili kuyatumia hayo nitakuoyesha

Siwezi kuwepo mpaka unithibitishie kwamba mungu yupo, unaweza kunithibitishia?
Kukuthibithisia mungu yupo inawezekana laini ni ngumu sabbu ina husu imani So itabidi nikupe somo la imani kwanza . Je wewe unaweza unithibithishia kuwa 2+2 = 4?

Mungu hawezi kuwepo, kwa sababu, the very idea of god is self contradicting.
Yes it contadictory sababu kwanza inahusu imani na pili sababu akili zako unataka mungu afanyae mambo kwa utashi wa akili za kibidamu. Ukiyazingatia hayo ndo utaweza uanza kumuelewa mungu.

Siwezi kuwepo mpaka unithibitishie kwamba mungu yupo, unaweza kunithibitishia?

Kama unaweza, huyo mungu anayeweza kuthibitishika si mungu, kashakuwa reducible to a proof kama hesabu tu.

Kama huwezi, unawezaje kuamini katika mungu asiyethibitishika.

Mungu hawezi kuwepo, kwa sababu, the very idea of god is self contradicting.

kiranga kuthibitisha kwa mungu ni trough imani. Sio trough physics , chemistry vitu ambayo binadamu wa kisasa ndio tume base.
 
Naaamini Mungu yupo . imani na kujua ni vitu vimefungamana na soetme ni kazi kuvitenganisha. Labda nifafanuliwe wewe unajua au unaamini nini kuhusu haya maneno mawili

As long as unaamini, unaweza kuamini chochote, tatizo linaanza watu wanaposema wanajua. Imani basically ni kukubali kwamba hujui.


Sababu maandiko nayoamini yananena hivyo hivyo. na zaidi ya maandiko observation ya hivyo viumbe hai inaonyesha akili za kibinadamu ni tofauti na viumbe hai wengine. kifupi binadamu tuna authorty ya kuwadhibiti na kuwactrol viumbe wengine . Ni akili ndio zinatuwezesha kufanya hayo.

Una observation gani kukuonyeha kwamba akili ya mungu ni zaidi ya akili ya binadamu?

Wewe wasema . N a mimi nasema ceetainly kwa wewe Mumngu kutokurodhisha matakwa na vigezo na qualitya zake unaztaka wewe sio kwamba hayupo

Bado hujaonyesha kwamba yupo.


Ndio unarudi kule kule kuwa sisi kama binadamu tuna udhaifu ,hatujakamilika. Huwezi kuelewa uwepo kutkuwepo kwa mungu kwa vigezo vya kibinadamu.

Kama huwezi kuelewa uwepo/ kutokuwepo kwa mungu kwa vigezo vya kibinadamu wewe unajuaje kama yupo? Huoni kama una ji contradict hapo?

Nimekuuliza kule juu swali la 2+ 2 hujanijibu . Umekwepa na umekimbilia kuniambia nikasme number theorems. So nami kwa kutumia style yako ya kukwepa nakuambia kukuthibithisia mungu yupo kasome biblia.

2 + 2 = sina jibu, sijui.
Otherwise kupeleka mjdala mbele nithibitishie kuwa ni kweli 2+2= 4 teh teh teh

Sijawahi kusema 2+2 = 4 katika thread hii, na hivo sina wajibu wa kuthibitisha kitu ambacho sijasema.

[/QUOTE]
Nimetumia akili nilizojaliwa na wakati natakuonyesha kwamba mungu yupo na wewe ebu nionyesshe 2+2= 4 au nionyeshe jibu lolote. usikwepe.

mambo ya mungu yanaenda na imani . Sasa nimabie ni kitu gani wewe unachoamini ili kuyatumia hayo nitakuoyesha

Kukuthibithisia mungu yupo inawezekana laini ni ngumu sabbu ina husu imani So itabidi nikupe somo la imani kwanza . Je wewe unaweza unithibithishia kuwa 2+2 = 4?

Huwezi kuthibitisha kitu cha imani, imani maana yake ni kukubali kitu bila uhakika, kthibitisha kitu ni kusema kitu kwa uhakika.Ukithibitisha unaondoa imani. Huwezi kuthibitisha kitu cha imani.

Nishakwambia mie sijui 2 + 2 =4, wewe ujajibu swali langu. Thibitisha kwamba mungu yupo.

Yes it contadictory sababu kwanza inahusu imani na pili sababu akili zako unataka mungu afanyae mambo kwa utashi wa akili za kibidamu. Ukiyazingatia hayo ndo utaweza uanza kumuelewa mungu.

Imani ni kukubali kitu bila kujua, kwa hiyo natuambia kwamba unasema mambo usiyoyajua hapa?

kiranga kuthibitisha kwa mungu ni trough imani. Sio trough physics , chemistry vitu ambayo binadamu wa kisasa ndio tume base.

Huwezi kuthibitisha kitu cha imani, by definition, imani ni kukubali kitu bla ya kuwa na uthibitisho, ukishathibitisha kitu tu kinatoka katika imani na kuwa katika fact.
 
As long as unaamini, unaweza kuamini chochote, tatizo linaanza watu wanaposema wanajua. Imani basically ni kukubali kwamba hujui.

eheheee kama ni hivyo basi na kutoamini vile vile basically sio kuonyesha kwamba unajua. Ebu nifafanulie tofauti ya imani na kujua ni nini?. Nipe mfano wa kutumia hii hesbau rahisi 2+2 = Kipi unachoamini na kipi unachojua kuhusu hesabuu hii . Na tunaweza kuthibitisahje unachojua wewe ni KWELI na sahihi?

Una observation gani kukuonyeha kwamba akili ya mungu ni zaidi ya akili ya binadamu?

Sababu wewe huamini itakuza kazi kuelewa lakini kifupi obseravtion ya uumbaji. Obseravation nahisroria kuwa kuna mwanzo.. Obseravtaion ambayo binadamu tunadhani ni wasomi na tunjua sana twanaweza kuelezea kwa nini maji yanaweza kushuka kutoka mlimani kuja chini na sio kupuanda mlimani. hayo yote kama unajiuliza maswali uijiuliza maswali zaidi utagundua there is some super natural power somewhere ndio sisi tunamuita mungu.


Bado hujaonyesha kwamba yupo.

Kukuonyesha kwa wewe unayetaka kumuona kwa limited physical sense organs z a macho, masikio ngozi au pua ni ngumu. Kumuona mungu ni kwa IMANI.

Kama huwezi kuelewa uwepo/ kutokuwepo kwa mungu kwa vigezo vya kibinadamu wewe unajuaje kama yupo? Huoni kama una ji contradict hapo?

Sijicontradict ninajitambua na kujitambua ndio mwanzo wa kupata majibu ya maswali magumu.

2 + 2 = sina jibu, sijui.
Ina maana na wewe basicaly huamini wala hujui mambo mepesi mepesi kama haya amabayo biandamu tunadai tunajua ukweli wake ila siku sasa kama hujui hilo la mungu hutakaa ulijue kamwe.

Sijawahi kusema 2+2 = 4 katika thread hii, na hivo sina wajibu wa kuthibitisha kitu ambacho sijasema.

Nimetoa jibu ambalo unakwepa kutoa sababu wewe ni mjanja mjanja. Umejibanza kona fuani unajua ukitoka hapo utakamatika. Siamini mtu anayetamfuta ukweli wa imani ya mungu anashindwa kujibu hesabula 2+2 na hata mtu anapotoa jibu anajalibu kulikana.

Huwezi kuthibitisha kitu cha imani, imani maana yake ni kukubali kitu bila uhakika, kthibitisha kitu ni kusema kitu kwa uhakika.Ukithibitisha unaondoa imani. Huwezi kuthibitisha kitu cha imani.

Yes kama binadamu maisha yetu yote yahausua imani iwe ni kwa wazzazi wetu tunawaita wazazi iwe ni mambo mbali mbali tunajifunza theory na law zote hata ulizotaja kwenye comment za mwanzo ni imani. Theory ya kuelezea kwa nini maji yanahsuka chini hayapandi juu ni imani but ya kisayansi.

Nishakwambia mie sijui 2 + 2 =4, wewe ujajibu swali langu. Thibitisha kwamba mungu yupo.

Nimeshakwambia kama hujui jibu la 2+2=4 i basi huwezi kueleweshwa wala kuthibitishiwa kama mungu yupo ....

Imani ni kukubali kitu bila kujua, kwa hiyo natuambia kwamba unasema mambo usiyoyajua hapa?
Kiranga mimi nasema mambo nisiyojua lakini nayoamini sababu kuna some evidence wewe unasema mambo usiyoamini na usiyojua vile vile ndiyo maana unayakataaa

Huwezi kuthibitisha kitu cha imani, by definition, imani ni kukubali kitu bla ya kuwa na uthibitisho, ukishathibitisha kitu tu kinatoka katika imani na kuwa katika fact.
wewe na mimi kama binadamu hata hilo neno imani tumelipa maana sisi . mambo mengi hata yaliyothibitishwa kwa akili za kibinadamu bado yanaaminika na imani So usichanagye sijui fact, imani etc kama unataka tujadili physics sawa lakini hata physics imejaaa "imani" na ndio maana kuna principal theory na law. Hizo zote ni imani katika level mbali mbali za kisasayansi.
 
Actually I tend to think that religion and politics is the same thing, two different faces of the same coin. The evolution of religion rose in parallel with political organizations. Up to now kings use the idea of divine mandate as used by ancient Egyptian Pharaohs and Chinese Emperors. We saw how George Bush used religion to rally the far right for political ends. Mkapa never used to go to church, I said here before that his church was at Palm Beach Hotel, and his communion was Johnnie Walker, but when he became president he was attending St. Immaculate, only to drop out after his two terms.The list of examples is endless.

Even in a relatively religious society, the unholy alliance of religion and politics is crumbling. Islam's schizophrenic of "submitting" to allah is no longer working, people are realizing you have to look for yours.

I don't think god has a monopoly on love. There are some atheist animal rights activists who exhibit a more loving nature than god on some issues. Bertrand Russell, in his criticism on why did Jesus, supposedly god incarnate with all mystic powers, decide to send all those pigs into the river unnecessarily, comes to mind (read his essay "Why I am Not a Christian" if you haven't)

Bob to me, was clearly dismissing the hierarchical religious movement and embracing a more unorthodox experience of "god"/ "Jah" as a way of folowing ones own spirit rather than listening to the preacher man.

Is it possible to do good without believing in god?

You haven't answered what does "Almighty god is a living man" anamanisha nini? Anamaanisha mungu ni kamba iliyotungwa na binadamu? Anamaanisha mungu ni Selassie? Anamaanisha kila mtu ana uwezo wa kuji elevate akawa mungu in his/ her own right kama wanavyoamini Budhist?

The fact that politicians use religion for political ends does not make them the same. Many politicians run on a religious platform. They take something like gay marriage and abortion in America, for example, which should be about civil liberties and rights and wrap it up as a moral and religious cause to get people afraid and riled up. But when you ask people to explain why religion and politics is, or should be, the same thing, they simply give the caps lock argument. There may be a connection between the two, but that does not make them the same thing.

On what does he mean when he said "Almighty god is a living man", it depends in which context. Some say Bob was not a Christian, he was a Rastafarian. Thus, the whole god being a man lyrics may be referring to Haille Selassie. Rastafarians believe that he was the messiah, and that he died because of sin not for sin as Jesus Christ did. When it comes down to this, we can't pick and choose who Godis,God is who he is, truth is not relative.

For Christian it may mean that our understanding is at a higher level than the milk of salvation. We know that Christ was God in the flesh. Having been left with the Holy Spirit, we now have God inside of us.

Joh 10:34 Jesus answered them, Is it not written in your Law, "I said, You are gods?"
Joh 10:35 If He called those gods with whom the Word of God was, and the Scripture cannot be broken,

Yes, the Holy Spirit is God inside of You!

Almighty God is a living man in a current Christian context may mean the fact that Jesus Christ lives in their hearts and they live the way he lived. Follow his commandments in this life and you have nothing to worry about. If you mess up and repent, then you have nothing to worry about. So, the Almighty god is a living man may be interpreted differently by various people in different context. It is only Bob who will be able to give us the actual meaning.
 
Hivi kwa nini hawa rastafarian wanahusudu bangi?<br />
Kuna wimbo wa Bob wenye maneno haya: 'excuse me while I light my splif.....'<br />
Kwa akili zilizochanganywa na bangi tayari sitegemei mtu awe na miono chanya ya kiimani.
 
Ukifuatilia etymology (challenge, how do you say etymology in Swahili, one word)

Mungu = mulungu = mzungu.

Kama vile baadhi ya babu zetu walivyoamini kwamba wazungu ni viumbe wa ajabu wanaojua na kuweza kila kitu, ndivyo baadhi yetu tunavyoamini kwamba mungu anayejua na kuweza kila kitu yupo hata leo.
 
Ukifuatilia etymology (challenge, how do you say etymology in Swahili, one word)

Mungu = mulungu = mzungu.

Kama vile baadhi ya babu zetu walivyoamini kwamba wazungu ni viumbe wa ajabu wanaojua na kuwndiyeza kila kitu, ndivyo baadhi yetu tunavyoamini kwamba mungu anayejua na kuweza kila kitu yupo hata leo.


Hahahhahaa kiranga bana

God = Good. Ibada ya leo leo ilikuwa nzuri sana. Nimekuombea ufunuliwe na rohomtakatifu kumjua muumba na alfana Omega . teh teh teh teh
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hahahhahaa kiranga bana

God = Good. Ibada ya leo leo ilikuwa nzuri sana. Nimekuombea ufunuliwe na rohomtakatifu kumjua muumba na alfana Omega . teh teh teh teh

Na mie nitamwombea kweye ibada ya jioni aondokewe na mapepo yote. lol.
 
Ukifuatilia etymology (challenge, how do you say etymology in Swahili, one word)

Mungu = mulungu = mzungu.

Kama vile baadhi ya babu zetu walivyoamini kwamba wazungu ni viumbe wa ajabu wanaojua na kuweza kila kitu, ndivyo baadhi yetu tunavyoamini kwamba mungu anayejua na kuweza kila kitu yupo hata leo.

Yakhe, wewe unajua kuwa mungu hayupo au unaamini kuwa mungu hayupo?
 
Back
Top Bottom