Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,426
- 92,795
Hiyo sentesi kwenye RED ukiandika kwa kiswahili mungu haikubali? huu siyo utumwa wa lugha ya kiarabu kweli?Acheni kupotosha! Iwe anaitwa Bob, Nyanga, Makani, au Mohamedi, mzee wetu amezikwa kwa heshima zote za kiislamu. Anayejua yake zaidi ni Mungu aliyemchukua mbele za haki.
Inna llaah, wainnah illaah rajiunah.