Hiyo haizuii sisi kukukumbusha uovu wako na tabia yako mbovu ya kuzusha mambo kwa manufaa ya wanaokutumia kama jalala.Hayo yako mie nipo msibani kwa Mzee wetu Bob Mohamed Ally Makani.
Haya, jina ni "Mohamed Makani", dini ni "Mkristo, tena Mkatoliki"! Hizi dini watanzania tunavyozishadadia utafikiri tu wasafi kama dini hizo zinavyotutaka! Kila jambo tuantaka kuchomeka udini, mwe!
Nyie wote ni wasukuma mikokoteni tu na siyo wa-Sukuma kama kabila. Kisukuma kina wingi wa kila neno ukitaka. Kisukuma kina lahaja za kikanda pia, Mwanza kuna lahaja zaidi ya 6, Shinyanga zaidi ya 4 na Tabora zaidi ya 4 pia. Sasa unabisha nini hapo Salum?Spelling kidogo mkuu, ni Ng'hani siyo nghani. Neno Ng'hani kwa kisukuma halina uwingi, hivyo Makani siyo uwingi wa ng'hani hata kidogo. Na hilo neno/jina (Makani) halina maana ya kiburi hata kidogo!
Barack Hussein Obama
Barack Obama
Hiyo haizuii sisi kukukumbusha uovu wako na tabia yako mbovu ya kuzusha mambo kwa manufaa ya wanaokutumia kama jalala.
Nilichojifunza hapa ni kuwa Mwanzilishi wa CHADEMA hakuwa mkristo, wala hakuwa mchaga. Hivyo kwa mtazamo wangu ni dhahiri kuwa hiki chama sio cha wachaga wala hakifungamani na wakristo kama Magamba walivyopotosha ukweli. Nadhani hiki chama kimempoteza mwana uhamsho mwanzilishi aliyekuwa na uchungu na maisha ya wananchi..RIP Baba wa taifa wa Chadema- MAKANI
Nilichojifunza hapa ni kuwa Mwanzilishi wa CHADEMA hakuwa mkristo, wala hakuwa mchaga. Hivyo kwa mtazamo wangu ni dhahiri kuwa hiki chama sio cha wachaga wala hakifungamani na wakristo kama Magamba walivyopotosha ukweli. Nadhani hiki chama kimempoteza mwana uhamsho mwanzilishi aliyekuwa na uchungu na maisha ya wananchi..RIP Baba wa taifa wa Chadema- MAKANI
Aminia!:coffee:Muongo, Mzandik.
KANYIMBI kama wewe ni mwanachama wa CDM basi unahatarisha uanachama wako. Unataka kusema CDM ina mababa wa Taifa wangapi? Mtei siyo baba wa Taifa wa CDm? Kama Mteio pia ni baba wa Taifa basi at least wapo wawili ukiongeza na Brown watakuwa watatu. Haya weee
Mie utanionea bure Mzee Bob Mohamed Ally Makani, haya majina sijampa mie kawakataze familia yake.