VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
- Thread starter
- #21
Jina la Mohammed lilikoma siku alipoapa na kubadili jina kisheria kwa 'Deed Poll' .Hata kwenye Roll of Advocates, ambapo nawe upo,anaitwa Bob Nyanga Makani.Tazama nambari 131.Hilo ndilo jina lake.Hivi mbona mnataka kuleta uhuni kwenye majina ya watu sijui kwa nini hamtaki kuliweka jina lake la Mohamed..