Duh,Mungu amponye huyu mzee,ni mpambanaji sana tangu 2002.
Ni hivi Mkuu: mimi najua kuwa Kamanda amelazwa Aghakan ila bado sijui anasumbuliwa na tatizo gani.Lazima niwe mkweli.Kuhusu Mohamed na Bob ni kuwa Kamanda alibadili jina kisheria na kuitwa Bob kutoka Mohamed.Ni hayo tu Mkuu.
kaka kwa taarifa yako Bob Maana yake ni Robert hilo la Mohamed umetoa wapi? kama lipo hongera kwa ufahamu wako unaoujua wewe tu
Mkuu mbona Vuta Nkuvute ameeleza vizuri tu kwamba alibadili jina kisheria kutoka Mohamed kwenda Bob hajasema Bob ni Mohamed. Mtu anaruhusiwa kuapa na kubadili kuchukua jina lingine. Robert ni Bob sawa kama ilivyo kwa James = Jacob = Jimmy. Mzee Makani yeye alikuwa akiitwa Bob na wala hajatumia Robert ni sawa tu na watu wanaoitwa Jimmy badala ya James.Ni hivi Mkuu: mimi najua kuwa Kamanda amelazwa Aghakan ila bado sijui anasumbuliwa na tatizo gani.Lazima niwe mkweli.Kuhusu Mohamed na Bob ni kuwa Kamanda alibadili jina kisheria na kuitwa Bob kutoka Mohamed.Ni hayo tu Mkuu.
kuna taarifa kuwa aliyekuwa mwenyekiti wa chadema,baada ya mzee edwin mtei,mohamed makani(bob makani) amelazwa katika hospitali ya aghakan.mwenye taarifa juu ya kinachomsibu kamanda huyu atujuze.nitakwenda pale kesho kumtakia pole mzee wetu huyu.get well soon kamanda!
Huu mwaka mbona umekuwa mbaya sana kwa wanasiasa?
Ugua pole sana.
Ni hivi Mkuu: mimi najua kuwa Kamanda amelazwa Aghakan ila bado sijui anasumbuliwa na tatizo gani.Lazima niwe mkweli.Kuhusu Mohamed na Bob ni kuwa Kamanda alibadili jina kisheria na kuitwa Bob kutoka Mohamed.Ni hayo tu Mkuu.
Hivi mtu ukisema "Ugua pole" una maanisha achelewe kupona au?
Kiswahili ni lugha maskini sana,....it doesn't make sense at all.
Mungu atamsaidia mzee huyo apone haraka. FEGI ndo zimemfikisha hapo alipo sasa. Akipona inabidi aache.
Mkuu nadhani hiyo si sababu kwa kuwa Bob amevuta fegi muda mrefu.Mungu atamsaidia mzee huyo apone haraka. FEGI ndo zimemfikisha hapo alipo sasa. Akipona inabidi aache.