bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Jamani Bluray yuko wapi? , Xmass si iliisha bado anahesabiwa tu?
anamalizia kitabu chake....
Jamani Bluray yuko wapi? , Xmass si iliisha bado anahesabiwa tu?
Omega,
Last time nilivyocheck naye aliniambia New Year resolution ni kumalizia kitabu chake mwaka huu kabla ya uchaguzi. Halafu alisema mwezi wa kwanza huu anafukuzia viwanja viwili, kimoja karibu na Mkuranga na kingine Mbezi Beach, kwa hiyo mambo ya mitandao bongo inawezekana not reachable.
Au kashapata Mwanahawa wa Kizaramo kabanwa kwa kanga moja.
Who knows? Atakuja hapa kusema mwenyewe, si unamjua addict yule.
Unaona sasa ulivyo mshamba. Sio wanugu tu wanao mangle english grammar. Kama umewahi kukutana na rednecks utajua kuwa nao grammar inawapiga chenga vile vile (hasa maeneo ya kusini mwa Marekani).
Na hakuna mtu anayetaka kufanana na wanugu. Saa ingine watu tunaandika hivyo kuleta madoido tu. Hatuko bungeni hapa kufanya kila kitu kuwa serious
Nduguzanguni, tafaanalek kufa hakuna breki!
Chafya!!!
Nilikuwa Kimanzichana, Mkuranga na Salasala nafukuzia viwanja, si unajua tena ardhi haiozi na mafisadi wanataka kukata mapande yote, sasa tunabanana.Pia naonana na wazee wa busara wananipa mikanda kabla hawajaanza wanavyosema wenyewe, nawarekodi vizuri tu. Nikirudi safari ya kusini naenda Mwananyamala nipate mikanda ya TANU ambayo haijapatikana rasmi kwa wananchi, halafu ntaenda Unguja na Pemba kuongea na washashi wasiotaka muungano niwasikilize kesi yao. Kamera langu halikosi ili nisije kuambiwa muongo. Nasikia kuna watu wanataka mpaka kumzodoa Maalim Seif huko, unaposikia Zanzibar kuna Hamas shurti ukae chonjo ati.
Nipo vumbini kwa wana wa nchi.Sasa ukichangia na mambo ya mitandao ya kupigwa vumbi tena, mambo ya madogori, ngoma za kucheza, kutambika, kuona vitoto vilivyozaliwa wakati sie tunahemea na pilika nyingine za kuzushiwa basi ngoma imekuwa nzito.
Lakini nipo, purukushani tupu.Hivyo nataka kwenda Somanga nikaangalie mipango ya pande za Songosongo na Kilwa kisiwani inaendaje huko. Sitaki kumwaga kuku kwenye mchele mwingi, subiri kitabu, ukinunue hivyo si kudoea.
Na hapana, sijapigwa ban, simo katika tafrani za uchaguzi, na wala Mwanahawa hajanikamata ingawa katika ngoma ya kumtoa Sikudhani alikuwa ananilenga, lakini hayo ya siku nyingine.
Kwa sasa naona lori linataka kuniacha na inabidi tufike darajani Rufiji kabla ya madogori.
Ahsanteni kwa kujali, mizimu imesema kumtukana mulungu hata kama hayupo si vizuri kwa hiyo mwaka huu kimya kimya kiaina.
Baadeni na shukuruni.
Nduguzanguni, tafaanalek kufa hakuna breki!
Chafya!!!
Nilikuwa Kimanzichana, Mkuranga na Salasala nafukuzia viwanja, si unajua tena ardhi haiozi na mafisadi wanataka kukata mapande yote, sasa tunabanana.Pia naonana na wazee wa busara wananipa mikanda kabla hawajaanza wanavyosema wenyewe, nawarekodi vizuri tu. Nikirudi safari ya kusini naenda Mwananyamala nipate mikanda ya TANU ambayo haijapatikana rasmi kwa wananchi, halafu ntaenda Unguja na Pemba kuongea na washashi wasiotaka muungano niwasikilize kesi yao. Kamera langu halikosi ili nisije kuambiwa muongo. Nasikia kuna watu wanataka mpaka kumzodoa Maalim Seif huko, unaposikia Zanzibar kuna Hamas shurti ukae chonjo ati.
Nipo vumbini kwa wana wa nchi.Sasa ukichangia na mambo ya mitandao ya kupigwa vumbi tena, mambo ya madogori, ngoma za kucheza, kutambika, kuona vitoto vilivyozaliwa wakati sie tunahemea na pilika nyingine za kuzushiwa basi ngoma imekuwa nzito.
Lakini nipo, purukushani tupu.Hivyo nataka kwenda Somanga nikaangalie mipango ya pande za Songosongo na Kilwa kisiwani inaendaje huko. Sitaki kumwaga kuku kwenye mchele mwingi, subiri kitabu, ukinunue hivyo si kudoea.
Na hapana, sijapigwa ban, simo katika tafrani za uchaguzi, na wala Mwanahawa hajanikamata ingawa katika ngoma ya kumtoa Sikudhani alikuwa ananilenga, lakini hayo ya siku nyingine.
Kwa sasa naona lori linataka kuniacha na inabidi tufike darajani Rufiji kabla ya madogori.
Ahsanteni kwa kujali, mizimu imesema kumtukana mulungu hata kama hayupo si vizuri kwa hiyo mwaka huu kimya kimya kiaina.
Baadeni na shukuruni.
Its Malawi 3 Algeria nil... Bwino sana
Nduguzanguni, tafaanalek kufa hakuna breki!
Chafya!!!
Nilikuwa Kimanzichana, Mkuranga na Salasala nafukuzia viwanja, si unajua tena ardhi haiozi na mafisadi wanataka kukata mapande yote, sasa tunabanana.Pia naonana na wazee wa busara wananipa mikanda kabla hawajaanza wanavyosema wenyewe, nawarekodi vizuri tu. Nikirudi safari ya kusini naenda Mwananyamala nipate mikanda ya TANU ambayo haijapatikana rasmi kwa wananchi, halafu ntaenda Unguja na Pemba kuongea na washashi wasiotaka muungano niwasikilize kesi yao. Kamera langu halikosi ili nisije kuambiwa muongo. Nasikia kuna watu wanataka mpaka kumzodoa Maalim Seif huko, unaposikia Zanzibar kuna Hamas shurti ukae chonjo ati.
Nipo vumbini kwa wana wa nchi.Sasa ukichangia na mambo ya mitandao ya kupigwa vumbi tena, mambo ya madogori, ngoma za kucheza, kutambika, kuona vitoto vilivyozaliwa wakati sie tunahemea na pilika nyingine za kuzushiwa basi ngoma imekuwa nzito.
Lakini nipo, purukushani tupu.Hivyo nataka kwenda Somanga nikaangalie mipango ya pande za Songosongo na Kilwa kisiwani inaendaje huko. Sitaki kumwaga kuku kwenye mchele mwingi, subiri kitabu, ukinunue hivyo si kudoea.
Na hapana, sijapigwa ban, simo katika tafrani za uchaguzi, na wala Mwanahawa hajanikamata ingawa katika ngoma ya kumtoa Sikudhani alikuwa ananilenga, lakini hayo ya siku nyingine.
Kwa sasa naona lori linataka kuniacha na inabidi tufike darajani Rufiji kabla ya madogori.
Ahsanteni kwa kujali, mizimu imesema kumtukana mulungu hata kama hayupo si vizuri kwa hiyo mwaka huu kimya kimya kiaina.
Baadeni na shukuruni.
Where are you Pundit? More than a year, binafsi sijabahatika kusoma post or thread yako tena. He/she was my english editor!!! Kiingereza chake ni lazima uwe na dictinary pembeni. I adored him/her very much. Invisible kama hata member bahati mbaya ameaga dunia fanyeni utaratibu wa kutujulisha kama mkipata habari japo msiseme jina lake halisi. Najua kuna baadhi ya members mnawafahamu , hasa wale wa muda mrefu au? Correct me if I am wrong!!
Nduguzanguni, tafaanalek kufa hakuna breki!
Chafya!!!
Nilikuwa Kimanzichana, Mkuranga na Salasala nafukuzia viwanja, si unajua tena ardhi haiozi na mafisadi wanataka kukata mapande yote, sasa tunabanana.Pia naonana na wazee wa busara wananipa mikanda kabla hawajaanza wanavyosema wenyewe, nawarekodi vizuri tu. Nikirudi safari ya kusini naenda Mwananyamala nipate mikanda ya TANU ambayo haijapatikana rasmi kwa wananchi, halafu ntaenda Unguja na Pemba kuongea na washashi wasiotaka muungano niwasikilize kesi yao. Kamera langu halikosi ili nisije kuambiwa muongo. Nasikia kuna watu wanataka mpaka kumzodoa Maalim Seif huko, unaposikia Zanzibar kuna Hamas shurti ukae chonjo ati.
Nipo vumbini kwa wana wa nchi.Sasa ukichangia na mambo ya mitandao ya kupigwa vumbi tena, mambo ya madogori, ngoma za kucheza, kutambika, kuona vitoto vilivyozaliwa wakati sie tunahemea na pilika nyingine za kuzushiwa basi ngoma imekuwa nzito.
Lakini nipo, purukushani tupu.Hivyo nataka kwenda Somanga nikaangalie mipango ya pande za Songosongo na Kilwa kisiwani inaendaje huko. Sitaki kumwaga kuku kwenye mchele mwingi, subiri kitabu, ukinunue hivyo si kudoea.
Na hapana, sijapigwa ban, simo katika tafrani za uchaguzi, na wala Mwanahawa hajanikamata ingawa katika ngoma ya kumtoa Sikudhani alikuwa ananilenga, lakini hayo ya siku nyingine.
Kwa sasa naona lori linataka kuniacha na inabidi tufike darajani Rufiji kabla ya madogori.
Ahsanteni kwa kujali, mizimu imesema kumtukana mulungu hata kama hayupo si vizuri kwa hiyo mwaka huu kimya kimya kiaina.
Baadeni na shukuruni.