Madhara yapo kaka, kwani teknolojia ya "Bluetooth" inatumia mawimbi ya usumaku ili kufanya kazi. Mawimbi haya ni sawa kabisa na yale yatumiwayo na simu za mikononi n.k
Madhara ya "Bluetooth" ni kama ifuatavyo:
1. Kansa ya Ubongo
2. Kansa ya Damu
3. Uzito wa mwili kuongezeka (Unene)
4. Kupoteza nywele
5. Kutokwa mimba (kwa wanawake)
6. maumivu ya kichwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.