blue scree

moko

Member
Apr 9, 2011
57
2
wakubwa naleta mezani matatizo mawili,lakwanza komputa nimeinstal antivirus ikascan baada yamuda ikarestart halafu inaonyesha blue screen haina chochote,pili nina simu yangu nadhani virus wameila kwasababu baadhi ya folder hazifanyi kazi mfano draft meseji,na simu haina uwezo wakuweka antivirus,nifanyeje?je nikiiformat niktaka kuinstall program upya nifanyeje?aina ni sony ericson p1i,Wakubwa ushauri wenu ni wamuhimu sn
 
wakubwa siku hizi naona hatuko active km zamani mtu ukidumbukiza tu idea watu wanaanza kujadili,naombeni walioko online jamani hebu rusheni idea,akina all,nk
 
Blue screen is not a big problem,it wont take even 5 minutes to fix it....nina uhakika huko ulipo kuna mtu anajua computer atakusaidia
 
jinsi ya kufomati sony ericsson
Using the Jog Dial -
Jog Dial - UP * Down Down * Down *
This would give you an option to format the Internal Disk.

kumbuka hii itafuta kilakitu kwenye simu yako na itakuwa kama ilivyotoka kiwandani siku ya kwanza,
so backup your data before
 
nashukuruni kwa mawazo mazuri,kaka hyo jog dial naona sjakusoma vizuri,
 
jinsi ya kufomati
Using the Jog Dial -
Jog Dial - UP * Down Down * Down *
This would give you an option to format the Internal Disk.

kumbuka hii itafuta kilakitu kwenye simu yako na itakuwa kama ilivyotoka kiwandani siku ya kwanza,
so backup your data before
Sijakuelewa mkuu!
 
wakubwa naleta mezani matatizo mawili,lakwanza komputa nimeinstal antivirus ikascan baada yamuda ikarestart halafu inaonyesha blue screen haina chochote,

Hiyo antivirus unayotumia ni antivirus gani ?

Usije ukawa umeistall antivirus mbili au antispyware amabazo zinaconflict na hazipatani kufanya kazi pamoja.
 
MH!!!
kama bado huja solve hii ishu basi fanya hivi

-U HAVE FEW OPTIONS HERE!!

1)Jaribu kuingia kwa safemode ili ubackup data zako kuingia safemode washa PC ikiwaka ubonyeze f8 uwe unabonya bonya hadi uone imetokea safemode(usibonye mara moja...bonya bonya)

2)Fanya system repair using Os cd.. mfano kama ni xp ingiza cd uwe kama unapiga windo vile,kuna sehemu itaonyesha Bonyeza R ku repair ur system

3)Ukishindwa kabisa Ndio ubadilishe window.

(Some time inaweza tokea blue scree wakati unaweka window cha kufanya ni toa CMOS battery na Ram na kuzirudishia)

My Advice.....Kwanin usitumie UBUNTU...the linux OS....

Not only freee but also NO VIRUS .......

www.ubuntu.com
 
Sijakuelewa mkuu!
Jog Dial ni hiyo scroll-er iliyopo kwenye ubavu wa kushoto wa simu yako. jog dial up maana yake unascroll juu, jog dial down unascroll chini, then hiyo * ni unabonyeza key ya 'nyota' kwenye keyboard yako kwa kufuata mtiririko aliyokuandikia mkuu Paulss hapo juu,,fuatilia demonstration ya video kwenye hii link inavyoonyesha alafu utapata service menu.. (YouTube - ‪Sony Ericsson P1i Service Menu‬‏)
 

Attachments

  • gsmarena_008.jpg
    gsmarena_008.jpg
    24.2 KB · Views: 20
i thinki fanya hivi

Restart Machine yako,
inapoanza kuwaka bonyeza function 8 ana F8,
Itakupeleka kwenye Safe mode ukifanikiw kuingia hapo,
Kama ni windows XP (nenda menu>system>then utaona sehemu imeandikwa System Restore bonyeza hapo)
Kama ni Windows Vista ama Windows 7 (nenda start>> then itatokea Dialogue box pale chini>> andika System restore>> ikija wewe bonyeza hapo pia)
Ukifika hapo fuata maelekezo,Kumbuka inatakiwa uwe unajua lini computa yako ilikuwa inafanya kazi vizuri then chagua hiyo tarehe,(fanya hivo, kama ikikubali ikishamaliza tengeneza restore point nyingine hapo.

Kumbuka

Kuweka OS mpya iwe ni last option always,
Kuweka UBUNTU sintoweza kukushauri kwani haitofanya kazi vile unavotaka, Ninatumia Ubuntu na ilinichukua muda sana kuizoea na kuweza kuinstall components zote, na kuipenda , Ishu sio Virus tu ndo ikufanye kuhama OS, kujua Ubuntu ujue Command line vizuri. OS yako ikishatulia anza kujifunza taratiiibu kutumia ubuntu mpaka siku utakayoamua kuhama hutopata shida.
 
Wakubwa nimeamini hapa panasaidia sana,naona ss elimu tz imekua especialy kwenye mambo ya it,mawazo yenu nimeyakubali na yanasaidia,ila naomba niendelee kusema kuwa f8 nimebonyeza sana hakuna kitu window yake ni xp,kila nikibonyeza hakuna kinrespond bali scree inarudi kuwa blue nakuformat sitaki kwani nina mamabo muhimu yameseviwa ndani nilitaka kwanza niyapate
 
Wakubwa nimeamini hapa panasaidia sana,naona ss elimu tz imekua especialy kwenye mambo ya it,mawazo yenu nimeyakubali na yanasaidia,ila naomba niendelee kusema kuwa f8 nimebonyeza sana hakuna kitu window yake ni xp,kila nikibonyeza hakuna kinrespond bali scree inarudi kuwa blue nakuformat sitaki kwani nina mamabo muhimu yameseviwa ndani nilitaka kwanza niyapate

Izime kisha iwashe, inapoanza kuwaka pale pale anza kubonya f8 mara nyingi au ukishawasha tu, anza kubonya f8 mara nyingi mpaka utaona inatokea.

Au nikuulize, ikiwa in blu screen kuna Icon yoyote inatotokea au hata start inaonekana??
 
Huwa inashauriwa ku-install OS kwenye separate logical drive,yani unagawanya HDD yako mara 2 au zaidi kulingana na ukubwa(capacity) wake then OS logical drive inabaki kuwa na OS files tu pa1 na other softwares. Data zote unaziweka kwenye another logical drive(s),hii inasaidia unapohitajika ku-format system kwani uta-format only Logical drive yenye OS files.

Mkuu SHAROBALO ameshauri kufanya 'System Repair' kwa kutumia Win XP CD,jaribu hiyo kwanza,ikishindikana rudi tena hapa!
 
Kama alivyoelekeza mkuu shalobaro restart mashine ikianza kuwaka kamata F8 yatatokea maandishi kama safe mode,last known good configurations sasa scroll hadi kwenye last known good configuration just press enter windows itatafuta yenyewe mara ya mwisho kuwaka vizuri ilikuwa lini ikipatikana itajizima na kuwaka,,kila kitu kitaenda vizuri,uliipoiscan mashine some bootable files zilikuwa na virus so some antivirus ina tabia kama ya ugonjwa wa kansa kwa binadamu yani kama kansa ikianzia kwenye kidole lazima ukate kidole ili kansa isisasmbae mwilini,so huwa inadelete files zote zinazoliwa na virus ili zisilsambae mashine yote.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom