Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
JF ni watu Mungu aliowabariki na kuwa na uwezo wa kupata mkate wa kila siku, na wengi wao wapo nje ya nchi maana hapa TZ internet access ni shida isipokuwa mpaka ofisini. Kwahiyo hawana direct impact.
Ila magazeti yanatembelea humu kwahiyo wanatusaidia kidogo kuwafikishia wa TZ ujumbe
Hapo kwenye impact sijakuelewa mkuu. Unaweza kuelezea zaidi?