Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Baadhi ya hizi blog zina matatizo ya kiufundi. Ukifungua ni matatizo matupu.zinafunguka kwa mwendo wa konokono na pengine utalazimka hata kufunga programu zingine zote kusubiri ifunguke.sidhani kama suala ni picha au video nyingi kwa sababu kuna blogs zina mapicha na video kibao lakini unafungua kiulaini tu na wala hupati shida ya kuendelea na programu zingine ulizozifungua.Sitataja mtu lakini naomba wamiliki wa blogs wanaojijua blogs zao zina tatizo hili warekebishe haraka kabla hatujawakimbia.