Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Jay Dee bado hajaamua aandike nini! Naona ni vitu mchanganyiko humo blogginimmetembelea na kwa Lady Jaydee nendeni nako muone makulaji n.k hii Lady Jay Dee
Jay Dee bado hajaamua aandike nini! Naona ni vitu mchanganyiko humo blogginimmetembelea na kwa Lady Jaydee nendeni nako muone makulaji n.k hii Lady Jay Dee
Jay Dee bado hajaamua aandike nini! Naona ni vitu mchanganyiko humo bloggini
sawa sawa.....jamani mpaka sasa hivi sijaona blog ya wakina maam/dada iliyo serious zoote ni ngonno( Dinah nakubaliana nae kawafundisha sana wadada waliokuwa wavivu wa kungonoka) huyu anahitaji pongezi na alianza kama ilivyo kuwafundisha hawa lazy ladies wanaonenepeana kwa kula kula....Probably ngono and partying and gossiping are the only things they know....
wanawake badilikeni mje na kitu kipya. mapenzi yapo na hayaishi. kwa staili hiyo tutaendelea kuwaonea huruma tu na 'hamtatoka'
....tusiende mbali wakuu angalie hata hapa JF hawazidi wanawake wa2 wanaochangia mambo serious.....wengi kaangalieni kwenye jukwaa la mapenzi...ndio maana nawaambiaga wana maneno ya saluni wananiona hamnazooo...
Jay Dee bado hajaamua aandike nini! Naona ni vitu mchanganyiko humo bloggini
jamani mambo ya aibu sana hivi huyu dina marious ana elimu gani? maana naangalia blog yake naona kinyaa...... simpigi majungu iangalieni Dina Marios..
Bibie tunaongelea blog zenu......kama unazijua blog za kinadada wa kitz nitajie blog 3 zinaongezlea mambo serious......zaidi ya kuonyesha leo Kim kardashian kavaa bikini gani au kuongelea mambo ya saluni.......4.WAKO MAMIA KWA MAELFU KWA MAMILIONI YA WANAWAKE WANAOWEZA KUKUPELEKA HARIJOJO NA ISSUES HADI UKAJISHANGAA! SO please reserve some respect to womankind!
You must be kidding ..right?
1.Unapojumlisha "wanawake" unafikiria wanawake wote wako feebled-minded?
2.UKIDHALILISHA WANAWAKE - UJUE HUJABAKIZA WALE WALIO WAKWAKO KAMA MAMA, DADA, BINTI KAMA UNAYE NA WENGINE UNAOWAPENDA!!
3.MTAENDELEA KUTUONEA HURUMA - THIS IS THE FUNNIEST PART OF IT!
4.WAKO MAMIA KWA MAELFU KWA MAMILIONI YA WANAWAKE WANAOWEZA KUKUPELEKA HARIJOJO NA ISSUES HADI UKAJISHANGAA! SO please reserve some respect to womankind!
haa wapi mkuu,mie wananijua kama atakuwepo hapa atakuwa keshanijua the real yo yo kumbe ndio fulani........kwanza ukweli huwa sipendi kukaa na shori ambae hanipi changamoto za kimaisha hata tukiwa bar.....hehehe mkuu shemeji akikusikia leo unanyimwa nakwambia...shauri yako.
ngono, mapenzi, fashion zote dugu moja
yaani mtu apigie punyeto blogi? puhliiiiiiz....si bora niende xtube au redtube
Please..jamani
Kuna Happy Katanabazi, Dada Subi, Swahili times....
mkuu si uamsikiaga kwenye leo tena..............alafu wanapelekeshwa na wakian kijo bisimba na ananelia nkya eti wagombee haki zao..pyuu gademu kule kwenye siasa nilisema hakuna mwanamama anaweza kuwa raisi tz....hatuna wakina Benazir Bhuto.....tunao wakina RiRiKapiga six pale Mkwawa kisha akaenda kakozi kautangazaji ndo hivyo anakula bata sasa kwenye Leo tena.....maisha ya Bongo simple tu ukiwa na wasafisha njia.