Mauza uza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 2,097
- 1,363
Baada ya masiku kadhaa kufanya utafiti wa blog za wabongo nimegundua wengi wao wamejiingiza huko kuganga njaa maana ubunifu ni zero habari na picha wanacopy na kupaste na zote zinafanana ..nafikiri wanaganga njaa kupitia vitangazo uchwara kwa pesa mbuzi....ukiangalia michuzi picha zake na habari,hizo hizo utazikuta kwa michuzi jr, hizo hizo utazikuta kwa le mutuz ,hizo hizo utazikuta kwa mjengwa, hizo hizo utazikuta viblog vyote vya bongo..yaani ni wastage ot time and space..wanaboa mno..nawakilisha!!