Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
humu tukianza kuongea wengine tulivyotendwa na ukabila wa wapare na wachaga makazini sijui itakuweje. Mama amefanya makosa, sikatai lakini hayafikii hata 1% ya wapare na wachaga. Tuache unafiki
TANZANIA HAKUNA UDINI
TANZANIA KUNA UKABILA unaoongozwa na makabila tajwa hapo juu
Tangu sakata la madaktari lianze nimesoma na kusikia uchafu mwingi kweli wa Huyu mama Nyoni, end of a day najiuliza inakuwaje anaanikwa maovu yake yoote kwa kiwango hiki ilhali siku zote yuko madarakani na hakuna aliyethubutu kumharibia?! Inakuwaje NINYI mnaojua madudu yake na mliofanya nae kazi msubiri hadi kaondolewa kwenye pozisheni ndio mnakuwa mbele kumtifua....Je! NINYI Ni wasafi?! Hebu tuamke na yeyote mchafu aliye madarakani Ni bora aanikwe sasa sio kusubiri hadi yamkute ya kumkuta ndio muwe mbele mbele kuharibu.:ballchain:[/QUO
Tumeandika sana kwenye JF na hard copy tukapeleka state house na TISS wnajua ila walikuwa wanamuogopa Luhanjo
Huyu mama inakula kwake! Mpaka dakika hii hajielewi mambo yanavyomuandama!
Tangu sakata la madaktari lianze nimesoma na kusikia uchafu mwingi kweli wa Huyu mama Nyoni, end of a day najiuliza inakuwaje anaanikwa maovu yake yoote kwa kiwango hiki ilhali siku zote yuko madarakani na hakuna aliyethubutu kumharibia?! Inakuwaje NINYI mnaojua madudu yake na mliofanya nae kazi msubiri hadi kaondolewa kwenye pozisheni ndio mnakuwa mbele kumtifua....Je! NINYI Ni wasafi?! Hebu tuamke na yeyote mchafu aliye madarakani Ni bora aanikwe sasa sio kusubiri hadi yamkute ya kumkuta ndio muwe mbele mbele kuharibu.:ballchain:
Ww Kabila gani? Nani kukudanganya kuwa Tanzania hakuna Udini? Umesikia maneno ya Jusa baada ya CUF kushindwa Uzini?.....kukudokeza tu kasema, " Cuf imeshindwa kwa sababu JIMBO la Uzini kuna Wakristo wengi na Wabara" hii utaiweka wapi?
Huo Ukabila wa Wachaga na Wapare umeuona wp? Vp kuhusu Wanyakyusa, Vp Wahaya? Na makabila mengine mengi tu yaliyopo hapa nchini! Thibitisha sio unatuhumu tu kwani tunaweza fikiria una Chuki binafsi na hayo makabila. Funguka
Mbayaaaaaaa hiiii. Dr.Mwita ni RMO hapa Bukoba...........yupo kabisaaaaaaaaaaaaa........tunae jamani tunae.........kumbe alimwamisha kwa zengwe.loh.....Jumatatu nina kikao naye lazima nimtonye anieleze kwa kina.
humu tukianza kuongea wengine tulivyotendwa na ukabila wa wapare na wachaga makazini sijui itakuweje. Mama amefanya makosa, sikatai lakini hayafikii hata 1% ya wapare na wachaga. Tuache unafiki
tanzania hakuna udini
tanzania kuna ukabila unaoongozwa na makabila tajwa hapo juu
huyu mama blind nyombi, kama alivyomhamisha mpandana kwenda muhimbili na nafasi yake kumpa ndugu yake. Ni mama aliyejaa ubinafsi, undugu, ukabila na kuonea wale amabo hawapo karibu nae, au ambao sii ndugu zake.
Mfano wa kamanda mkubwa wa malaria, dr. Mwita aliyekuwa meneja wa mpango wa malaria. Baada ya yule daktari kukomaa, kuwa pesa ya global fund hataigusa, nyomi aliazimia kumhamisha mzee wa watuu kwenda kanda ya ziwa. Hebu tazama gharama za kumhamisha mtu kwa nia yako mbaya, wakati madaktrai wanahitaji call allowance,je kweli hiyo ni kuokoa gharama ua ???
Kamhamisha pia kijana wa mpango wa ukimwi,ambaye ni katibu wa afya kwenda kibon'goto....jamani ili amlete ndugu yake /mtu wa kabila lake,toka kibong'oto kuja wizarani.gharama za uhamisho kwa huyo jamaa yake aitwaye martin k. Magongwa, ni takribani tshs 11,842,228/=???jamani , je kulikuwa na sababu gani ya kumhamisha huyo afisa toka aliko kuja wizarani???...matumizi mabaya ya madaraka.jalada lake ni mp.64059.
Wachunguzi, tafadhali fuatilieni, ili kuona uhalali wa uhamisho wa watu waliohamishwa na mama nyomi, na gharama zilizotumika, huku akizuia kazi za wizara zisifanyike kwa kisingizio mgawo haujaletwa,.....kumbe anajifanyia mambo yake atakavyo yeye.
Huyu mama anatakiwa afilisiwe, na afungwe jela maisha yake yote....na aombe mungu angekuwa china... Ni kunyongwa,huwezi tumia madaraka kwa ubinafsi kama uko katika ofisi isiyokuwa na watendaji.uliwadharau watumishi wa afya, na najua sasa unajuta maneno yako ya kuudhi watendaji, kujisikia na kujiona kama mungu mtu. Uliwahadaa watumishi wa afya kuwa ukihama kuwa watafanya party kubwa kuliko ya wizara ya maliasili.....
Sasa hukuhama ilia umejivua nguo mwenyewe....na kwa taarifa nilizonazo ni kuwa watumishi wa afya hususani madaktari wa muhimbili na wauguzi uliowatukana kuwa ni wachafu, na hawajui kiingereza wanasherekea sana, na wanayofuraha sana.
Apandacho mtu ndicho anachovuna.....''
Tatizo letu ni kuwa hakuna nidhamu yeyote. Majority ya wafanyakazi wa umma wanafanya kazi katika mazingira magumu (pamoja na madaktari).
Kwa muda mrefu sana nidhamu kazini katika ofisi za umma ni ndogo. Watu wanajifaniya wanavyotaka ie late coming, kuondoka mapema, kufanya kazi binafsi, kuchonga deal nk.
Pakitokea mtu akajaribu kuenforce compliance ina kuwa shida. Siasa itaingizwa na all of a sudden watu wanakuwa concerned.
Mimi binafsi napingana na msemo unao tumika kuwa tumesomesha na serikali na kwa hiyo serikali itapoteza. Hapana, wamepewa mkopo na wanatakiwa kurudisha wakimaliza .
Hawa Drs wakiwa kwenye private hospitals , wanabehave differently. Hii ni double standards.
kumbe huyu mama ana makubwa ee!
Huyu mama Blind Nyombi, kama alivyomhamisha Mpandana kwenda Muhimbili na nafasi yake kumpa ndugu yake. Ni mama aliyejaa ubinafsi, undugu, ukabila na kuonea wale amabo hawapo karibu nae, au ambao sii ndugu zake.
Mfano wa Kamanda mkubwa wa malaria, DR. MWITA aliyekuwa Meneja wa Mpango wa MALARIA. Baada ya yule daktari kukomaa, kuwa pesa ya Global Fund hataigusa, Nyomi aliazimia kumhamisha mzee wa watuu kwenda Kanda ya Ziwa. Hebu tazama gharama za kumhamisha mtu kwa nia yako mbaya, wakati madaktrai wanahitaji call allowance,je kweli hiyo ni kuokoa gharama ua ???
Kamhamisha pia kijana wa Mpango wa UKIMWI,ambaye ni Katibu wa Afya kwenda Kibon'goto....jamani ili amlete ndugu yake /mtu wa kabila lake,toka Kibong'oto kuja wizarani.Gharama za uhamisho kwa huyo jamaa yake aitwaye Martin K. Magongwa, ni takribani Tshs 11,842,228/=???Jamani , je kulikuwa na sababu gani ya kumhamisha huyo afisa toka aliko kuja WIZARANI???...Matumizi mabaya ya madaraka.Jalada lake ni MP.64059.
Wachunguzi, tafadhali fuatilieni, ili kuona uhalali wa uhamisho wa watu waliohamishwa na mama Nyomi, na gharama zilizotumika, huku akizuia kazi za wizara zisifanyike kwa kisingizio mgawo haujaletwa,.....kumbe anajifanyia mambo yake atakavyo yeye.
Huyu mama anatakiwa AFILISIWE, NA AFUNGWE JELA MAISHA YAKE YOTE....NA AOMBE MUNGU ANGEKUWA CHINA... NI KUNYONGWA,HUWEZI TUMIA MADARAKA KWA UBINAFSI KAMA UKO KATIKA OFISI ISIYOKUWA NA WATENDAJI.Uliwadharau watumishi wa afya, na najua sasa unajuta maneno yako ya kuudhi watendaji, kujisikia na kujiona kama Mungu MTU. Uliwahadaa watumishi wa Afya kuwa ukihama kuwa watafanya Party kubwa kuliko ya Wizara ya Maliasili.....
Sasa hukuhama ilia umejivua nguo mwenyewe....na kwa taarifa nilizonazo ni kuwa watumishi wa AFYA hususani madaktari wa Muhimbili na wauguzi uliowatukana kuwa ni wachafu, na hawajui kiingereza wanasherekea sana, na wanayofuraha sana.
APANDACHO MTU NDICHO ANACHOVUNA.....''
na wanyakyusa hawana mfano nyie wafuatilieni tu!hii ni point muhimu na nzito sn . Wachaga na wapare wazuia sn rifhiki za watz kuibao
humu tukianza kuongea wengine tulivyotendwa na ukabila wa wapare na wachaga makazini sijui itakuweje. Mama amefanya makosa, sikatai lakini hayafikii hata 1% ya wapare na wachaga. Tuache unafiki
TANZANIA HAKUNA UDINI
TANZANIA KUNA UKABILA unaoongozwa na makabila tajwa hapo juu