Huyu mama Blind Nyombi, kama alivyomhamisha Mpandana kwenda Muhimbili na nafasi yake kumpa ndugu yake. Ni mama aliyejaa ubinafsi, undugu, ukabila na kuonea wale amabo hawapo karibu nae, au ambao sii ndugu zake.
Mfano wa Kamanda mkubwa wa malaria, DR. MWITA aliyekuwa Meneja wa Mpango wa MALARIA. Baada ya yule daktari kukomaa, kuwa pesa ya Global Fund hataigusa, Nyomi aliazimia kumhamisha mzee wa watuu kwenda Kanda ya Ziwa. Hebu tazama gharama za kumhamisha mtu kwa nia yako mbaya, wakati madaktrai wanahitaji call allowance,je kweli hiyo ni kuokoa gharama ua ???
Kamhamisha pia kijana wa Mpango wa UKIMWI,ambaye ni Katibu wa Afya kwenda Kibon'goto....jamani ili amlete ndugu yake /mtu wa kabila lake,toka Kibong'oto kuja wizarani.Gharama za uhamisho kwa huyo jamaa yake aitwaye Martin K. Magongwa, ni takribani Tshs 11,842,228/=???Jamani , je kulikuwa na sababu gani ya kumhamisha huyo afisa toka aliko kuja WIZARANI???...Matumizi mabaya ya madaraka.Jalada lake ni MP.64059.
Wachunguzi, tafadhali fuatilieni, ili kuona uhalali wa uhamisho wa watu waliohamishwa na mama Nyomi, na gharama zilizotumika, huku akizuia kazi za wizara zisifanyike kwa kisingizio mgawo haujaletwa,.....kumbe anajifanyia mambo yake atakavyo yeye.
Huyu mama anatakiwa AFILISIWE, NA AFUNGWE JELA MAISHA YAKE YOTE....NA AOMBE MUNGU ANGEKUWA CHINA... NI KUNYONGWA,HUWEZI TUMIA MADARAKA KWA UBINAFSI KAMA UKO KATIKA OFISI ISIYOKUWA NA WATENDAJI.Uliwadharau watumishi wa afya, na najua sasa unajuta maneno yako ya kuudhi watendaji, kujisikia na kujiona kama Mungu MTU. Uliwahadaa watumishi wa Afya kuwa ukihama kuwa watafanya Party kubwa kuliko ya Wizara ya Maliasili.....
Sasa hukuhama ilia umejivua nguo mwenyewe....na kwa taarifa nilizonazo ni kuwa watumishi wa AFYA hususani madaktari wa Muhimbili na wauguzi uliowatukana kuwa ni wachafu, na hawajui kiingereza wanasherekea sana, na wanayofuraha sana.
APANDACHO MTU NDICHO ANACHOVUNA.....''
Mfano wa Kamanda mkubwa wa malaria, DR. MWITA aliyekuwa Meneja wa Mpango wa MALARIA. Baada ya yule daktari kukomaa, kuwa pesa ya Global Fund hataigusa, Nyomi aliazimia kumhamisha mzee wa watuu kwenda Kanda ya Ziwa. Hebu tazama gharama za kumhamisha mtu kwa nia yako mbaya, wakati madaktrai wanahitaji call allowance,je kweli hiyo ni kuokoa gharama ua ???
Kamhamisha pia kijana wa Mpango wa UKIMWI,ambaye ni Katibu wa Afya kwenda Kibon'goto....jamani ili amlete ndugu yake /mtu wa kabila lake,toka Kibong'oto kuja wizarani.Gharama za uhamisho kwa huyo jamaa yake aitwaye Martin K. Magongwa, ni takribani Tshs 11,842,228/=???Jamani , je kulikuwa na sababu gani ya kumhamisha huyo afisa toka aliko kuja WIZARANI???...Matumizi mabaya ya madaraka.Jalada lake ni MP.64059.
Wachunguzi, tafadhali fuatilieni, ili kuona uhalali wa uhamisho wa watu waliohamishwa na mama Nyomi, na gharama zilizotumika, huku akizuia kazi za wizara zisifanyike kwa kisingizio mgawo haujaletwa,.....kumbe anajifanyia mambo yake atakavyo yeye.
Huyu mama anatakiwa AFILISIWE, NA AFUNGWE JELA MAISHA YAKE YOTE....NA AOMBE MUNGU ANGEKUWA CHINA... NI KUNYONGWA,HUWEZI TUMIA MADARAKA KWA UBINAFSI KAMA UKO KATIKA OFISI ISIYOKUWA NA WATENDAJI.Uliwadharau watumishi wa afya, na najua sasa unajuta maneno yako ya kuudhi watendaji, kujisikia na kujiona kama Mungu MTU. Uliwahadaa watumishi wa Afya kuwa ukihama kuwa watafanya Party kubwa kuliko ya Wizara ya Maliasili.....
Sasa hukuhama ilia umejivua nguo mwenyewe....na kwa taarifa nilizonazo ni kuwa watumishi wa AFYA hususani madaktari wa Muhimbili na wauguzi uliowatukana kuwa ni wachafu, na hawajui kiingereza wanasherekea sana, na wanayofuraha sana.
APANDACHO MTU NDICHO ANACHOVUNA.....''