Blandina Nyoni na uhamisho wa uonevu, na kupendelea kabila lake, marafiki

GOLIGOTHA

New Member
Feb 10, 2012
2
3
Huyu mama Blind Nyombi, kama alivyomhamisha Mpandana kwenda Muhimbili na nafasi yake kumpa ndugu yake. Ni mama aliyejaa ubinafsi, undugu, ukabila na kuonea wale amabo hawapo karibu nae, au ambao sii ndugu zake.

Mfano wa Kamanda mkubwa wa malaria, DR. MWITA aliyekuwa Meneja wa Mpango wa MALARIA. Baada ya yule daktari kukomaa, kuwa pesa ya Global Fund hataigusa, Nyomi aliazimia kumhamisha mzee wa watuu kwenda Kanda ya Ziwa. Hebu tazama gharama za kumhamisha mtu kwa nia yako mbaya, wakati madaktrai wanahitaji call allowance,je kweli hiyo ni kuokoa gharama ua ???
Kamhamisha pia kijana wa Mpango wa UKIMWI,ambaye ni Katibu wa Afya kwenda Kibon'goto....jamani ili amlete ndugu yake /mtu wa kabila lake,toka Kibong'oto kuja wizarani.Gharama za uhamisho kwa huyo jamaa yake aitwaye Martin K. Magongwa, ni takribani Tshs 11,842,228/=???Jamani , je kulikuwa na sababu gani ya kumhamisha huyo afisa toka aliko kuja WIZARANI???...Matumizi mabaya ya madaraka.Jalada lake ni MP.64059.

Wachunguzi, tafadhali fuatilieni, ili kuona uhalali wa uhamisho wa watu waliohamishwa na mama Nyomi, na gharama zilizotumika, huku akizuia kazi za wizara zisifanyike kwa kisingizio mgawo haujaletwa,.....kumbe anajifanyia mambo yake atakavyo yeye.

Huyu mama anatakiwa AFILISIWE, NA AFUNGWE JELA MAISHA YAKE YOTE....NA AOMBE MUNGU ANGEKUWA CHINA... NI KUNYONGWA,HUWEZI TUMIA MADARAKA KWA UBINAFSI KAMA UKO KATIKA OFISI ISIYOKUWA NA WATENDAJI.Uliwadharau watumishi wa afya, na najua sasa unajuta maneno yako ya kuudhi watendaji, kujisikia na kujiona kama Mungu MTU. Uliwahadaa watumishi wa Afya kuwa ukihama kuwa watafanya Party kubwa kuliko ya Wizara ya Maliasili.....

Sasa hukuhama ilia umejivua nguo mwenyewe....na kwa taarifa nilizonazo ni kuwa watumishi wa AFYA hususani madaktari wa Muhimbili na wauguzi uliowatukana kuwa ni wachafu, na hawajui kiingereza wanasherekea sana, na wanayofuraha sana.
APANDACHO MTU NDICHO ANACHOVUNA.....''
 
Tatizo lenu hamtaki kuambiwa ukweli kwani hulka yenu ni kudanganywa kuwa mu wasafi wakati ni wachafu!! Sasa huyu mama alivyowaambia kuwa huko Muhimbili mlikuwa wachafu kwani ni uongo? Ni kweli Muhimbili ni pachafu kwasababu ya kukosa vitendea kazi na wafanyakazi kutokujituma vilivyo kwasababu mbalilmbali ikiwemo uduni wa maslahi; hata hivyo inakuwa si kosa nyie kuambiwa ni wachafu wakati kweli ni wachafu!!
 
Tatizo lenu hamtaki kuambiwa ukweli kwani hulka yenu ni kudanganywa kuwa mu wasafi wakati ni wachafu!! Sasa huyu mama alivyowaambia kuwa huko Muhimbili mlikuwa wachafu kwani ni uongo? Ni kweli Muhimbili ni pachafu kwasababu ya kukosa vitendea kazi na wafanyakazi kutokujituma vilivyo kwasababu mbalilmbali ikiwemo uduni wa maslahi; hata hivyo inakuwa si kosa nyie kuambiwa ni wachafu wakati kweli ni wachafu!!

Huyo unayemtetea ndiye alitoa tenda ya kufanya usafi pale. [kwa kampuni anayohusiana nayo].
Kwa hiyo mwambie yeye ndiye mchafu.
 
Huyu mama inakula kwake! Mpaka dakika hii hajielewi mambo yanavyomuandama!

At the end of the day she will come out clean na wale mahasimu wake watagundulika kuwa walikuwa na ajenda zao za siri ambazo hazina tija kwa mustakabali wa nchi!! Na kwa precedent kama hizi nchi kuitawala itakuwa ngumu sana kwani siasa will override professionalism and the requisite performance standards will decline if they have not done so already.
 
Tatizo lenu hamtaki kuambiwa ukweli kwani hulka yenu ni kudanganywa kuwa mu wasafi wakati ni wachafu!! Sasa huyu mama alivyowaambia kuwa huko Muhimbili mlikuwa wachafu kwani ni uongo? Ni kweli Muhimbili ni pachafu kwasababu ya kukosa vitendea kazi na wafanyakazi kutokujituma vilivyo kwasababu mbalilmbali ikiwemo uduni wa maslahi; hata hivyo inakuwa si kosa nyie kuambiwa ni wachafu wakati kweli ni wachafu!!

Tuliza kitenesi ujui ulisemalo wewe.
Kwa hiyo, huyo mama yako nyoni ana 'usafi' gani?
Hacha kukurupuka wewe!
Unatakiwa ukampe pole kwa kupoteza zile 80 bil alizokuwa ameifadhi kule exim bank!
Huyu mama hafai hata kidogo, au na wewe ni kati ya wale vijana wanaommega?
 
Mada hii kwa vyovyote imeletwa na mtu anayefanya kazi wizara ya afya kwa jinsi ilivyogusa ukweli moja kwa moja kumhusu huyu mama!
 
Mada hii kwa vyovyote imeletwa na mtu anayefanya kazi wizara ya afya kwa jinsi ilivyogusa ukweli moja kwa moja kumhusu huyu mama!

Huyu mama ni nyoka, nitashangaa sana kama asipopanda karandinga!
 
Tatizo lenu hamtaki kuambiwa ukweli kwani hulka yenu ni kudanganywa kuwa mu wasafi wakati ni wachafu!! Sasa huyu mama alivyowaambia kuwa huko Muhimbili mlikuwa wachafu kwani ni uongo? Ni kweli Muhimbili ni pachafu kwasababu ya kukosa vitendea kazi na wafanyakazi kutokujituma vilivyo kwasababu mbalilmbali ikiwemo uduni wa maslahi; hata hivyo inakuwa si kosa nyie kuambiwa ni wachafu wakati kweli ni wachafu!!

U must be sick!!! Fuatilia historia ya Blandina Nyoni kuanzia Hazina, Mali Asili na Utalii ndio utajua watu wanazungumzia nini! Huyu mama ni fisadi kuliko neno lenyewe! tenda zote anajipa mwenyewe na ndugu zake, mbinafsi, jeuri, muuaji...amesababisha mgomo wa madaktari kwa jeuri yake na kuua ndg zetu waliokosa huduma ya madaktari. Blandina Nyoni ni zao la Luhanjo kama hujuwi.
 
Huyu mama Blind Nyombi, kama alivyomhamisha Mpandana kwenda Muhimbili na nafasi yake kumpa ndugu yake. Ni mama aliyejaa ubinafsi, undugu, ukabila na kuonea wale amabo hawapo karibu nae, au ambao sii ndugu zake.

Mfano wa Kamanda mkubwa wa malaria, DR. MWITA aliyekuwa Meneja wa Mpango wa MALARIA. Baada ya yule daktari kukomaa, kuwa pesa ya Global Fund hataigusa, Nyomi aliazimia kumhamisha mzee wa watuu kwenda Kanda ya Ziwa. Hebu tazama gharama za kumhamisha mtu kwa nia yako mbaya, wakati madaktrai wanahitaji call allowance,je kweli hiyo ni kuokoa gharama ua ???
Kamhamisha pia kijana wa Mpango wa UKIMWI,ambaye ni Katibu wa Afya kwenda Kibon'goto....jamani ili amlete ndugu yake /mtu wa kabila lake,toka Kibong'oto kuja wizarani.Gharama za uhamisho kwa huyo jamaa yake aitwaye Martin K. Magongwa, ni takribani Tshs 11,842,228/=???Jamani , je kulikuwa na sababu gani ya kumhamisha huyo afisa toka aliko kuja WIZARANI???...Matumizi mabaya ya madaraka.Jalada lake ni MP.64059.

Wachunguzi, tafadhali fuatilieni, ili kuona uhalali wa uhamisho wa watu waliohamishwa na mama Nyomi, na gharama zilizotumika, huku akizuia kazi za wizara zisifanyike kwa kisingizio mgawo haujaletwa,.....kumbe anajifanyia mambo yake atakavyo yeye.

Huyu mama anatakiwa AFILISIWE, NA AFUNGWE JELA MAISHA YAKE YOTE....NA AOMBE MUNGU ANGEKUWA CHINA... NI KUNYONGWA,HUWEZI TUMIA MADARAKA KWA UBINAFSI KAMA UKO KATIKA OFISI ISIYOKUWA NA WATENDAJI.Uliwadharau watumishi wa afya, na najua sasa unajuta maneno yako ya kuudhi watendaji, kujisikia na kujiona kama Mungu MTU. Uliwahadaa watumishi wa Afya kuwa ukihama kuwa watafanya Party kubwa kuliko ya Wizara ya Maliasili.....

Sasa hukuhama ilia umejivua nguo mwenyewe....na kwa taarifa nilizonazo ni kuwa watumishi wa AFYA hususani madaktari wa Muhimbili na wauguzi uliowatukana kuwa ni wachafu, na hawajui kiingereza wanasherekea sana, na wanayofuraha sana.
APANDACHO MTU NDICHO ANACHOVUNA.....''


Huyu mama kweli nuksi....kumtoa Natonal malaria control coordinator kisha akamtupa Bukoba. Akampa kazi huko, RMO au? Mbona imekaa kama demotion hii. halafu huyo martin magogwa sio materia ya kupelekwa wizarani;sifa yake kubwa nayoifahamu mimi ni "kupiga hela za miradi" naweza ku connect dots kwanini mama Nyoni alimuhitaji wizarani. Duh! safari ya kufikia maendeleo imejaa vizingiti kibao!
 
Tatizo lenu hamtaki kuambiwa ukweli kwani hulka yenu ni kudanganywa kuwa mu wasafi wakati ni wachafu!! Sasa huyu mama alivyowaambia kuwa huko Muhimbili mlikuwa wachafu kwani ni uongo? Ni kweli Muhimbili ni pachafu kwasababu ya kukosa vitendea kazi na wafanyakazi kutokujituma vilivyo kwasababu mbalilmbali ikiwemo uduni wa maslahi; hata hivyo inakuwa si kosa nyie kuambiwa ni wachafu wakati kweli ni wachafu!!

Mtuma post si daktari...
 
At the end of the day she will come out clean na wale mahasimu wake watagundulika kuwa walikuwa na ajenda zao za siri ambazo hazina tija kwa mustakabali wa nchi!! Na kwa precedent kama hizi nchi kuitawala itakuwa ngumu sana kwani siasa will override professionalism and the requisite performance standards will decline if they have not done so already.
in tanzania anyone can come clean... Even rostam and his crew

Blandina is devilish and should be left rotting in jail.

Ila pia sioni kama hoja ya kugamisha mwita ni issue kwani hakuna alieambiwa atafanya kazi sehemumoja tu...
 
Mwenye orodha ya wagonjwa waliopata rufaa kwenda Appollo Hospital za India hebu aimwage jamvini. Kuna tetesi kuwa alikuwa anawamrisha madaktari wa hospitali za rufaa kuwaandikia ndugu zake na marafiki kuwa wapelekwe India hata kwa matatizo ambayo yanatibiwa hapa nnchini
 
At the end of the day she will come out clean .

Kama atasafishwa sio kwamba aliyoyafanya ni mema na yako sahihi kwa mustakabali wa nchi hii..pamoja na hayo kuna tetesi kwamba analipwa mshahara wa TZS 25m kwa mwezi..je, huu nao sio ufisadi kwake yeye binafsi na huyo aliyemuidhinishia hayo malipo?..Hizi double-standards za malipo kwa watumishi wa umma ni time bomb..
 
Back
Top Bottom