Blandina Nyoni kujiuzulu?

Huyu mama has to go. Kwanza kila kona ana maadui. Ushauri wa bure kwake hela alizochota zinamtosha ajiuzuru hata kama asiposhtakiwa. Wizara ya maliasili anachukiwa, hazina,afya ndiyo kabisaaaa especially MNH. Ana maadau lukuki. Atauliwa huyu mama asipoangalia ooohooo shauri yake asicheze na ajira pamoja na professional za watu loh!
 
Wachakachuaji at their best, hawamuelewi mkweree kuwa he never acts when pressurised!! Mbona nyie vilaza kwanini hamjifunzi toka sakata la Jairo? Characteristic moja ya Jakaya ni loyalty to hi true friends; he will never forsake them come rain come sunshine!!
 
Hivi kuna mtu aliyekuwa ameamini ni ya kweli? If so then Kikwete atakuwa amemjibu hivi:


Dear Blandina Nyoni,

Thank you for your letter.

I understand your reasons for deciding to resign as Permanent Secretary of the Ministry of Health and Social Welfare (MOHSW)
although I am very sorry to see you go.

We have worked closely for many years and you have been a key member of my team throughout that time.

You have done a superb job since the last election and before that.

You have overseen fundamental changes in the Ministry of Ministry of Health and Social Welfare, which will ensure that it is fully equipped to meet the challenges of the modern era.

On the doctors strike, you played a key role while I was abroad in the World Economic Forum to campaign for more foreign investment to our country.

You can be proud of the difference you have made in your time in office, and in helping our party to stay in government.

I appreciate your commitment to the work of this government, particularly highlighting the need to tackle the health problems, and the relationship between Tanzania's economic strength and other countries.

We have always been good friends, and I have truly valued your support over the years. I will continue to do so in the future.

Yours ever,

President Kikwete

Kwa hiyo JK naye atakuwa amecopy barua ya David Cameron. Makubwa haya! Akhaaaa!!!!
 
Hakuna Mtanzania anaweza kujiuzulu akawa na maneno ya hekima kama hayo kwenye barua. hii barua si ya kweli. eti I have always placed a great deal of importance on 'accountability and responsibility.' sijui eti siku zote nazingatia accountability na uwajibikaji aahaa nani anaweza kukiri hivyo zaidi ya kusema Nimelazimishwa na wanaonionea wivu kuachia ofisi hii tamu. huyu mama ana ROHO MBAYA namkumbuka kwa jinsi alivyomdhalilisha Daktari fulani aliyepata nafasi ya kufanya kazi ubalozini India. Aondoke tu huko Wizara ya Afya amewashindwa wafanyakazi wake! Huwa namshangaa JK sijui huwa anawatoa wapi watendaji kama huyu Maza.
 
Kipanya nailed it, kule jamii photo... the whole saga turned Nyoni to the Big Momma
dokta.jpg
 
Ccm wote ni wachafu wakisema kuwajibishana wote watatimuliwa
 
Nyie watu ACHENI MZAHA! Hivi TANGU LINI kiongozi Tanzania AKAJIUZURU hata kama amwshikwa "NA NGOZI MKONONI?" Mie SIAMINI kabisa! Na kama kweli Huyu Mama atakuwa amefanya hivyo, Nio tayari KUTEMBEA KWA MUGUU toka hapa KISHUMUNDU, Moshi mpaka Darisalama, hata kama itanichukua wiki moja!
 
kigugumizi cha rais kumfire blandina nyoni na mtasiwa kinatokana na ukweli kuwa hawa ni watu wa kusini sehemu ambayo ni ngome kuu ya ccm iliyobaki ambayo nayo imeanza kubomoka(tizama mbeya).hivyo kuwangoa hawa watu ni sawa na kutangaza vita na kusini.lakini rais anatakiwa apime je kati ya kuwaacha au kuwawajibisha ni kipi kitarudisha imani ya wananchi kwa serikali na chama.wengi wa wananchi wanalalamika kwamba jk hawezi kuchukua maamuzi magumu ngoja tusubiri mwisho wa sakata hili.
 
Back
Top Bottom