Imetumika kwa muda gani?Sina shida yoyote, Nimeamua kuuza simu coz m tired of it
we ustake nikurembee sana kama unahitaji zungumza... lugha nzuri lugha nzuri kwan umetukanwa
Kama umeichoka si ugawe? Ligha uliyotumia Ni mbaya, ungekuwa umeichoka ungeiuza bei hiyo? kaka shida zinakusimbua, funguka acha kaburi.