Simu ya kichina utaitambua kwa ringtone isiyopunguzika...tehe the teh
usiombee upande basi na Msukuma mwenye simu ya kichina, hadi unafika ulipokuwa unaenda kichwa kitakuwa kinakuuma kwa makelele
ina depend..ninayo blackberry ya kichina ina-support JAVA,so internet napata bila shida,software za java nazo pia na-download.,.tatizo ni betri
buji bana
Kuna kipindi nilisafiri kutoka Nzega kwenda Mwanza, nikakaa siti moja na hao jamaa, kweli kufika Mwanza ilikuwa naanza na kununua panado.
Je hii simu inatofauti gani na original?
Nataka kuinunua lakini naogopa.
Je simu za kichina zinakubali internet configuration ya mitandao yetu?
hapo kwenye red, nilidhani ni cm yangu pekee ndo ina tatizo hilo.kobe anasaidia
Japokuwa wanapenda muziki munene lakini huu utani sas, ngoja tuone
ingia NMB halafu uone walimu akinamama wanavyohangaika nazo zikiita mikobaniSimu ya kichina utaitambua kwa ringtone isiyopunguzika...tehe the teh
hamnaga blackbery ya kichina...blackbery inabaki kuwa blackbery na sifa zake za kipekee kabisa,kumbuka sifa ya blackbery sio ku browse internet kama zilivyo simu za kawaida ...sifa yake ya kipekee ni kupata zile blackbery services (wenye blackbery nadhan nadhan mnazijua
Jamani ni wapi zinako uzwa tv orijino?
simu za kichina ni mzigo kwa mtumiaji,,Operating system inayotumika ni unknown kwa software developers, sio Symbian, sio Android na wala sio Java therefore no chance to Upgrade anything in China mobile,,make sure tunakuwa wajanja tunavyochagua simu, kupata uhakika na simu ni bora kuangalia specification zake kwenye internet...
<br />hamnaga blackbery ya kichina...blackbery inabaki kuwa blackbery na sifa zake za kipekee kabisa,kumbuka sifa ya blackbery sio ku browse internet kama zilivyo simu za kawaida ...sifa yake ya kipekee ni kupata zile blackbery services (wenye blackbery nadhan nadhan mnazijua