Blackberry ya kichina.

Mmenigusa,sister wang alinunua iphone ya Jumong (mchina) imeandkwa 32gb kumbe waapi. Alaf wangese wanakwambia made in calfornia,assembled in china
 
Mi nnayo mwaka na miezi 4 sasa, mi nimeipenda coz naitumia kusomea vitabu ktk ebook yake ingawa kwa mafaili ya txt tu kwani haikubali pdf.video, kamera intaneti, games application haifai pia kuna tatizo ktk system yake ya kuchaji(simu nyingi za mchina ziko hivyo) huwa inagoma na kuandika "warning bad charger contact" kwa sasa nachajia kobe lol
hapo kwenye red, nilidhani ni cm yangu pekee ndo ina tatizo hilo.kobe anasaidia

utani wa ngumi huo
Japokuwa wanapenda muziki munene lakini huu utani sas, ngoja tuone
 
Mkuu net configuration inapokea ila blackberry mchina kwenye internet sio sim,kama unaichukua kwa mawasiliano tu poa ila kwa net na entertainment ya aina yeyote apart from music sahau! Kwanza huwezi kudownload game likafunguka(haipokei jar. nor jad. inshort no games apart from soduku and the other internal stupid games). Camera yake imeandikwa ina megapixel ni kama 4 au 3 kama cjasahau,ila picha inazopiga ni rubbish,videos kiduchu sana ina ubora ukilinganisha na picha. Programming yake it's so boaring,yaani utaitumia cku mbili utaiona choo,ukikaa nayo mwezi hujaiuza we balaa! Bora ninue nokia ndogo kabisa yenye internet capabillity kuliko blackberry au I-phone ya mchina. Puuu mpaka nimetema mate jinci ninavyoichukia hiyo cm.lol

So how can one indetify original BB.?

and does it maean any BB or iphone from china are fake or counterfeit ?
 
So how can one indetify original BB.?

and does it maean any BB or iphone from china are fake or counterfeit ?

1.How can one id an original BB. These things nowadays are xo identical you can almost be sure ur using the real thing,while using the fake one! Where you buy the 4ne is a major factor in finding an original 4ne! One can identify the original after checking it's functioning b4 buying it,but if you can't as i said,where you buy it matters a lot.
2nd. Are all china mobiles fakes?well i don't know xactly what 4nes they use but i can tell you that i'm almost sure that the 4nes we as developing nations get from china are fakes and out dated. That's what i think.
 
Not all Iphones but all apple product are assembling in china like ipod,ipad,iphone,mac laptops and so on frm this products Chinese wameweza kutengeneza kila kitu hasa iphones ukiingalia kwa nje hauwezi kuitofautisha na original yake lakini wameshindwa kwenye kitu kimoja tu ile sensor ambayo unaweza ukaiita screen,wao wameweka ya plastic wakati ya original yake ni kioo,na kitu kingine OS yake pale wachina wamechemka kwani nyingi ni double line wakati original ni single laini,na housing yake ni plastic ina ribon ya chuma wakati mchina ni plastic full.
 
Not all Iphones but all apple product are assembling in china like ipod,ipad,iphone,mac laptops and so on frm this products Chinese wameweza kutengeneza kila kitu hasa iphones ukiingalia kwa nje hauwezi kuitofautisha na original yake lakini wameshindwa kwenye kitu kimoja tu ile sensor ambayo unaweza ukaiita screen,wao wameweka ya plastic wakati ya original yake ni kioo,na kitu kingine OS yake pale wachina wamechemka kwani nyingi ni double line wakati original ni single laini,na housing yake ni plastic ina ribon ya chuma wakati mchina ni plastic full.
na mchina yake inaitwa HI-PHONE ama SCI-PHONE,ukitaka kujua mchina tu uliza kama unataka iphone ya line mbili ukiletewa jua famba
 
hivi mtu mwenye aliki zako timamu unaweza nunua simu ya mchina kweli...Juzi rafiki yangu aliniletea simu yake nokia n97 nimsaidie kucomfigure internet doh!,wizi mtupu ndugu yangu,ina GPS lakini ikibonyeza inafunguka browser memory wameandika 32G sijui wakiwa wanamaanisha nini hiyo screen touch inabidi uwe na toothpik iliyochongwa zaid yaani ni uozo mtupu,kuliko niwe na simu la mchina bora niwe na kisimu changu cha tochi
 
1.How can one id an original BB. These things nowadays are xo identical you can almost be sure ur using the real thing,while using the fake one! Where you buy the 4ne is a major factor in finding an original 4ne! One can identify the original after checking it's functioning b4 buying it,but if you can't as i said,where you buy it matters a lot.
2nd. Are all china mobiles fakes?well i don't know xactly what 4nes they use but i can tell you that i'm almost sure that the 4nes we as developing nations get from china are fakes and out dated. That's what i think.

Mhhh as asome one said below most phones are made in china.. na nimeona watu wanaibiwa kwa kununua simu zimeandikwa made in Germany or made in UK kumbe ndio fake.

Dont be suprised kujua most original phones are from china. So ukiona unanunua Nokia imeandikwa may be made in germany jua ni fake. eg The only nokia original africa can get is from Hungary.


That is supply chain kama BB wameamua kuwa simu zao za kuja africa zitatoka kiwanda chao cha china utafanyaje? Na huo ndio ukweli.

All iPhones are made in China so no.
Huwa nashangaa kuona watu wa nchi yetu amabayo haina hata kiwanda cha tooth stick au vifungo ni big issue wanakuwa na ujasiri wa kuita bidhaa za nchi nyingine fake. teh teh teh
 
Kama ulishawahi kuwa UK au German, kuna simu utaona hazina jina la mtengenezaji ila wameandika O2 (Oxygen) kwa UK au T-Mobil kwa German. Hizi zote zinatengenezwa na Wachina kampuni la Huawei.

Wachina wana vitu vingi vizuri tu ila sema Watanzania wakienda China, wanachukua za bei POA na matokeo yake wanakuwa wanaliza watu huko. Ukitaka vitu FEKI vya China ila High Quality basi jitahidi kuagiza kutoka USA au EU. Ila kumbuka huko bei yake itakuwa juu zaidi ya hiyo ya Bongo.

Angalia simu za Mfalme wa Telecom kutoka China yaani HUAWEI: All Huawei phones

Pia hapa unaweza kusoma maelezo ya kila simu na kutoka hapo utajua kama hiyo unanunua ni Original au Feki. Ila kumbuka, wakati mwingine simu zinapishana kutoka Bara moja hadi jingine.
 
Je hii simu inatofauti gani na original?
Nataka kuinunua lakini naogopa.
Je simu za kichina zinakubali internet configuration ya mitandao yetu?

Zipo fake ambazo hukubali configuration ya mtandao wa "ENZI YA ZAMANI IMERUDI WE"Lakini mitandao mingine haikubali kabisa.nakupa mbinu nyingine ya kutambua sim za mchina au fake zozote km hazipokei config au zinapokea..1.Card sim ya voda ni kipimo kizuri sana cha utambuzi wa misim ya hovyohovyo.Ukitaka kununua sim ambayo huna hakika kama ni nzuri kwa Internate ingiza card ya voda fanya configuration haichukui hata dk 3 utapata jibu km ni nzuri itakuwa imeunganishwa kama fake itagoma.
 
Mmenigusa,sister wang alinunua iphone ya Jumong (mchina) imeandkwa 32gb kumbe waapi. Alaf wangese wanakwambia made in calfornia,assembled in china

Umenifanya nicheke, kweli wanajua huku kuna wadwanzi watazivagaa!!!
Nazjaz
ushauri umeupata, kama vipi wewe tafuta tu Nokia ya maana ni afadhali.
 
Back
Top Bottom