Blackberry ya kichina inanikosesha raha

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mkuu option ya kwanza imeshindikana. Still i'm getting connection failed messege. Hii ya pili ya ku <br />
install opera ndio kasheshe, nitawezaje ku download wakati haina internet?

Hiyo simu haina njia ya kuhamishia file zaidi ya internet? USB cable, SD card, Bluetooth?
 
Fanya ivi....tuma sentensi hii kama ilivyo....."Wap nokia 6300" tuma kwenda
Voda-15300
Tigo-500
Airtel-232

Kwa upande wangu huwa natumiaga sana njia hii ya kufake model ya sim na huwa wanantumia configurations..na nina zinstall kama kawaida.so jaribu njia iyo
 
we jamaa mtata kama yahoo messenger inapatikana inaamana inakamata internet or what do you mean?

Well kwanza nikufahamishe hakunaga blackberry ya kichina hiyo ni chinese mobile

umenihuzunisha sana kugawa original phone nokia e5 ukaenda kununua mchina (poor product) bora hata ungenunua simu ya tochi

jinsi ya kuunganisha internet manually kwa airtel nitumie namba yako ya airtel (ili iwe connected) na email adress yako kama hutojali then nitakutumia maelezo yatakayokuongoza kufanya manual configuration.

Ushauri:hiyo simu uza mzee coz hata baaada ya kuinga na internet dk chache tu inapata moto kishenzi...yaan haina mzuka,ukishauza hiyo nitafute nikuuzie nokia e 63 kwa bei poa tu then you will feel the difference bro!
 
Fanya ivi....tuma sentensi hii kama ilivyo.....&quot;Wap nokia 6300&quot; tuma kwenda <br />
Voda-15300<br />
Tigo-500<br />
Airtel-232<br />
<br />
Kwa upande wangu huwa natumiaga sana njia hii ya kufake model ya sim na huwa wanantumia configurations..na nina zinstall kama kawaida.so jaribu njia iyo
<br />
<br />
chinese mobile hazikubali automatic configuration...hiyo ngoma hadi u feed manually na line iwe connected ki peke yake
 
we jamaa mtata kama yahoo messenger inapatikana inaamana inakamata internet or what do you mean?

Well kwanza nikufahamishe hakunaga blackberry ya kichina hiyo ni chinese mobile

umenihuzunisha sana kugawa original phone nokia e5 ukaenda kununua mchina (poor product) bora hata ungenunua simu ya tochi

jinsi ya kuunganisha internet manually kwa airtel nitumie namba yako ya airtel (ili iwe connected) na email adress yako kama hutojali then nitakutumia maelezo yatakayokuongoza kufanya manual configuration.

Ushauri:hiyo simu uza mzee coz hata baaada ya kuinga na internet dk chache tu inapata moto kishenzi...yaan haina mzuka,ukishauza hiyo nitafute nikuuzie nokia e 63 kwa bei poa tu then you will feel the difference bro!
Mojoki mie natafuta nokia e63 ya kununua kama unazo, bei gani unauza? nahitaji nipe maelezo kama unayo pliz, asante.:whoo:
 
we jamaa mtata kama yahoo messenger inapatikana inaamana inakamata internet or what do you mean?&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Well kwanza nikufahamishe hakunaga blackberry ya kichina hiyo ni chinese mobile&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt; <br />
<br />
umenihuzunisha sana kugawa original phone nokia e5 ukaenda kununua mchina (poor product) bora hata ungenunua simu ya tochi&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
jinsi ya kuunganisha internet manually kwa airtel nitumie namba yako ya airtel (ili iwe connected) na email adress yako kama hutojali then nitakutumia maelezo yatakayokuongoza kufanya manual configuration.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ushauri:hiyo simu uza mzee coz hata baaada ya kuinga na internet dk chache tu inapata moto kishenzi...yaan haina mzuka,ukishauza hiyo nitafute nikuuzie nokia e 63 kwa bei poa tu then you will feel the difference bro!
Asante kwa kuonesha unajari. hata hivyo nilishafanikiwa kufanya manual configuration ya vodacom (u can get it from their website) inadunda mzigo poa ingawa lengo langu ilikuwa nitumie kwa airtel network. ushauri kwako. Kizuri kula na nduguyo. Usiwe mchoyo. Ndugu yako akikipenda kitu chako (except mkeo/mumeo) mpatie, siku moja atakuja kukusaidia mahali usipotarajia. simu you can buy it anytime so long u have money, but upendo kwa nduguyo unatakiwa kumuonesha pale anapouhitaji. Ni mtazamo wangu tu
 
Fanya ivi....tuma sentensi hii kama ilivyo.....&quot;Wap nokia 6300&quot; tuma kwenda <br />
Voda-15300<br />
Tigo-500<br />
Airtel-232<br />
<br />
Kwa upande wangu huwa natumiaga sana njia hii ya kufake model ya sim na huwa wanantumia configurations..na nina zinstall kama kawaida.so jaribu njia iyo
<br />
<br />
Mkuu Ginner kwanini hukutembelea mapema hii thread? Nisingehangaika kwa muda wote huo nilioupoteza. Thanx, your approach was so easy, it works. Asante mkuu
 
Hakuna simu ya Blackberry Q3 so sina uhakika umenunua nini.

Ila kama umeipata sehemu ya kuingiza settings na ukafanikiwa kuziingiza umesema Yahoo inafanya kazi, maana yake simu inapata mtandao. Unaposema internet haifanyi kazi unamaanisha nini? unapata error? error ipi?

Exactly my sentiments.

Kama Yahoo inafanya kazi na unaweza kuitumia live maanya yake una internet access. Na hao watu wa kampuni ya simu yako wana haja ya kujibu kwa nini wanasema hawawezi kui suport simu ambayo tayari ipo katika mtandao.

[h=2]Ports Yahoo! Messenger uses![/h]Yahoo! Messenger services uses a variety of ports.
ServicePorts
Chat & MessengerTCP Port 5050: Client Access only
Insider/Room ListsTCP Port 80: Client Access only
File TransferTCP Port 80: Server Access.
Your ISP may block this port, as its used for web hosting.
You can change port in Messenger, Preferences, File Transfer.
Voice ChatUDP 5000-5010
TCP 5000-5001: Client Access
If UDP Fails, TCP will be used instead, see below.
WebCamTCP Port 5100: Client Access
Super WebcamTCP Port 5100: Server Access
P2P Instant MessagesTCP Port 5101: Server Access
PMs between Buddys may not use the Yahoo! Server, but this is not a requirement.
 
Back
Top Bottom