mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,251
Ndugu zangu leo nimeona niongelea juu ya huduma ya BIS kwa kutumia blackberry kati ya kampuni ya Zain na Vodacom,ingawa hii mada imewahi jadili hapo kitambo,kuwa ni kampuni ipi ambayo inatoa huduma murua.
kwa utangulizi hapo mwanzo nilijiunga na Vodacom,lakini tatizo kubwa nililopata ni kuwa mimi siwezi kutumia email ya yahoo kwa hiyo nitafute zingine kama gmail au hotmail ili hali mi natumia yahoo,nikaulize kulikoni nikaambiwa nikitaka kutumia anuani ya yahoo inabidi nilipia dola 40.
Pia ingawaje niliambiwa kuwa ni Unlimited ukweli ni kuwa sio,huduma ya BIS ikaishia kabla ya hata mwezi kwani kutokana na kazi zangu ilibidi niwe natuma na kupokea mafaili mengi na makubwa.
Nikaone ngoja nijaribu Zain, loh Zain ni chiboko kwani nimeweza kutumia anuani ya yahoo bila pingamizi lolote na pia kuna vionjo kibao,pia GPS kama kawa na iko sahihi inakuonyesha mahali sahihi ulipo n.k pia ni unlimited na kwa sasa kuna offer ya bure kwa waliojiunga kutumia mwezi mmoja bureee.
Kwangu mimi naona Zain ni zaidi ya vodacom inapokuja huduma ya kutumia BB.kama kuna nyongenza karibuni waitu
kwa utangulizi hapo mwanzo nilijiunga na Vodacom,lakini tatizo kubwa nililopata ni kuwa mimi siwezi kutumia email ya yahoo kwa hiyo nitafute zingine kama gmail au hotmail ili hali mi natumia yahoo,nikaulize kulikoni nikaambiwa nikitaka kutumia anuani ya yahoo inabidi nilipia dola 40.
Pia ingawaje niliambiwa kuwa ni Unlimited ukweli ni kuwa sio,huduma ya BIS ikaishia kabla ya hata mwezi kwani kutokana na kazi zangu ilibidi niwe natuma na kupokea mafaili mengi na makubwa.
Nikaone ngoja nijaribu Zain, loh Zain ni chiboko kwani nimeweza kutumia anuani ya yahoo bila pingamizi lolote na pia kuna vionjo kibao,pia GPS kama kawa na iko sahihi inakuonyesha mahali sahihi ulipo n.k pia ni unlimited na kwa sasa kuna offer ya bure kwa waliojiunga kutumia mwezi mmoja bureee.
Kwangu mimi naona Zain ni zaidi ya vodacom inapokuja huduma ya kutumia BB.kama kuna nyongenza karibuni waitu