Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Ndugu wanaJF heshima kwenu,
Nina simu aina ya BlackBerry Pearl 8100 Series nimejaribu kuomba configaration setting za Zain bila mafanikio maana nahitaji ku-activated e-mail address pasipo mafanikio,wanitumia msg nakusema huduma hiyo kwa sasa wamesitisha,naomba yoyote mwenye kuelewa ni jinsi gani naweza kupata access ya internet kwenye simu hii anielekeze tafadhali.
Nina simu aina ya BlackBerry Pearl 8100 Series nimejaribu kuomba configaration setting za Zain bila mafanikio maana nahitaji ku-activated e-mail address pasipo mafanikio,wanitumia msg nakusema huduma hiyo kwa sasa wamesitisha,naomba yoyote mwenye kuelewa ni jinsi gani naweza kupata access ya internet kwenye simu hii anielekeze tafadhali.