Malizia attempt ya mwisho. Simu inajiformat inakuwa kama ulivyoinunua dukani na unapoteza kumbukumbu zako zote!!wanajamii nimeweka password jana usiku kwenye blackberry yangu alafu leo najaribu kuingiza inakataa kabisa nimeshafanya 9 atempt out of 10 nifanyeje naombeni msaada wenu
Malizia attempt ya mwisho. Simu inajiformat inakuwa kama ulivyoinunua dukani na unapoteza kumbukumbu zako zote!!
Yeah Dena, Ukimaliza attemt zote Blackbery huwa zinajiformat. Unaendelea kuitumia kama mpya. Tatizo utakuwa umepoteza kumbukumbu zako zote. Blackberry huwa hazijilock baada ya attempt zote za password kama ilivyo kwa simu nyingine!Mmmmhhh kuna ukweli hapa???/ Hata mimi nataka kujua aisee
Yeah Dena, Ukimaliza attemt zote Blackbery huwa zinajiformat. Unaendelea kuitumia kama mpya. Tatizo utakuwa umepoteza kumbukumbu zako zote. Blackberry huwa hazijilock baada ya attempt zote za password kama ilivyo kwa simu nyingine!
Aisee! meku upo? nimekutafuta sana sikupati hadi kwa simu umekuwa upatikani!mkuu ucwe na wac wac malizia attemp ya mwisho ila hakikisha cm inachaji ya kutosha icje izimia njiani ukimaliza itakwambia uingize new password or itaendelea tu kama kawaida enjoy ur smartphone mkuu